ZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA KATIKA JIMBO LAKE LA UCHAGUZI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea silaha za jadi, upinde, mishale na usinga kutoka kwa Machifu wa kabila la Wakonongo katika mji wa Inyonga wilayani Mlele akiwa katika ziara ya jibo lake la uchaguzi Januari 7, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Halmashauri hiyo kuhutubia mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi Januari 7, 2015. (Picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zb0v26fU-J4/XvL9BJ2ZZ1I/AAAAAAALvLM/XMUe0L1wjGkwmeJEpbZ4a8K-6a7AnyEpwCLcBGAsYHQ/s72-c/09ec87ac-eed6-412b-bdaa-d64a95bf00a8.jpg)
ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA KATIKA JIMBO LA RUANGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zb0v26fU-J4/XvL9BJ2ZZ1I/AAAAAAALvLM/XMUe0L1wjGkwmeJEpbZ4a8K-6a7AnyEpwCLcBGAsYHQ/s640/09ec87ac-eed6-412b-bdaa-d64a95bf00a8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/adbc1e5c-9bd7-4d7c-901f-d1555ad8ed79.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mbekenyera wilayani Ruangwa akiwa katika ziara ya kikazi, Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2cf992a9-c910-4414-9992-baad39f0b4b0.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m9fRskoNGXA/VJGXyaWvnMI/AAAAAAAG378/HOUVVI82EsA/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA ZIARA YA KIKAZI DUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-m9fRskoNGXA/VJGXyaWvnMI/AAAAAAAG378/HOUVVI82EsA/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XH04CAJVrkw/VJGXy66o3II/AAAAAAAG38A/5blOrcZzu_k/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA ZIARANI KATIKA JIMBO LA ISIMANI NA KALENGA MKOANI IRINGA
10 years ago
GPLWAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA ZIARANI KATIKA JIMBO LA ISIMANI NA KALENGA MKOANI IRINGA
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo, Marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa uliotokea hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari 20, 2015.
Waziri Mkuu,...
11 years ago
Dewji Blog24 May
Mh. Mohammed Dewji akiwa katika ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo ya jimbo lake
MO akisalimiana na wazee wa kijiji cha Uhamaka kabla ya kuanza kuzungumza na wananchi.
MO akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kwenye mkutano wake Uhamaka.
Mbunge MO akilakiwa na mmoja wa bibi kizee aliyefika kwenye mkutano wake , Karibu mjukuu wangu hapa Uhamaka.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Dewji (MO), akiweka saini kwenye kitabu cha ofisi ya kijiji cha Uhamaka Manispaa ya Singida wakati akiwa kwenye ziara ya kiazi ya siku moja kukagua shughuli mbalimbali za...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Ziara ya Pinda katika jimbo la Isimani na Kalenga mkoani Iringa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wauguzi wa Kituo cha Afya cha Mlowa katika jimbo la Ismani kabla ya kuzindua kituo hicho akiwa katika ziara ya mkoa wa Iringa Februari 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipima mapigo ya moyo ikiwa ni ishara ya kuzindua kituo cha afya cha Mlowa katika jimbo la Isimani akiwa katika ziara ya mkoa wa Iringa Februari 19, 2015.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00731.jpg)
MH. MOHAMMED DEWJI AKIWA KATIKA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA JIMBO LAKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xfXtU-ri4H4/VUHSULUY1UI/AAAAAAAHUMI/-oKrMhMqVjc/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...