Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKILISHI WA KIKWAJUNI MHE MAHMOUD ATOWA ELIMU YA KATIBA MPYA KWA WANANCHI WA JIMBO LAKE

Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Mahmoud Mussa akizungumza na Viongozi wa UWT wa Jimbo hilo kutokana na kuielewa Katiba Mpya iliyopendkezwa na kusoma baadhi ya Ibara hizo na kutowa ufafanuzi wake, mkutano huo umefanyika katika Tawi la CCM Kilimani. Mhe Mahmoud akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Viongozi wa UWT wa Jimbo la Kikwajuni na kuwataka kuisoma Katiba hiyo mpya iliopendekezwa na kutowa elimu juu ya Katiba hiyo kwa Wananchi wa Shehia zao.Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE


 Baadhi ya madawati 270 yaliyonunuliwa na Mbunge wa Jimbo la Temeke kwa Shule za Sekondari zilizopo Jimboni kwake ambapo madawati 100 yalikwisha chukuliwa kupelekea jumla ya madawati 300 yenye jumla ya Sh. Mil 60  Mbunge wa Jimbo la  Temeke, Abbas Mtemvu akikabidhi madawati na  Mkuu wa Chuo cha Mafunzo na Ufundi Stadi (Veta) , Samuel Ng'andu, Dar es Salaam jana, baada ya mbunge huyo kuamua kununua madawati 270 kwa ajili ya shule za sekondari zilizopo Jimboni kwake akiongozana na...

 

11 years ago

GPL

MWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE

Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (katikati) wakiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Kiembe samaki Ramadhan Mrisho wa kushoto, kulia Mwenyekiti wa Kamati ya michezo ya Jimbo hilo Juma Abdul-rabi kabla ya kukabidhi pesa taslimu na vifaa vya michezo kwa timu za Jimbo hilo ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni zake hafla hiyo imefanyika katika Hoteli ya Ocean View Mjini Zanzibar.  Diwani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakilishi Jimbo la Bububu Mhe BHAA akanusha tuhuma ya gari lake kuhusika mashambulizi dhidi ya Wanachama wa CUF

Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Zanzibar Mhe Hussein Ibrahim Makungu akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tuhuma zanazoenezwa kwamba gari lake aina ya fuso kuhusika na kuwashambulia Wanachama wa CUF wakati wakirudi Mkutanoni makunduchi, Akitowa maelezo kwa waandishi wa habari katika ukumbi wa salama bwawani amesema gari hiyo iliotumika katika tukio hilo haiko katika milki yake, hiyo gari iliohusisha na tukio hilo aliiuzwa karibu sasa miaka minane na kumulikiwa na mtu mwengine...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. MAHMOUD THABIT KOMBO AAPISHWA kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki

 Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimuapisha Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, katika ukumbi wa baraza la Wawakilishi Mbweni.   Muakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe.Mahmoud Thabit Kombo (alievaa koja) akiwa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe Baraza la wawakilishi katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa  Mhe.Mahmoud Thabit Komboa akitoka nje ya Baraza la Wawakilishi  kuwashukuru wapenzi na wanachama...

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe. Jussa asema Suala la Katiba mpya halijafikiwa kama Wananchi walivyotarajia

Na Abou Shatry Washington DC

Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe: Ismail Jussa Ladhu amesema Tanzania inaelekea kusipotarajiwa na maoni ya wananchi waliyotoa maoni.Muwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV Siku ya Jumamosi Feb 28, 2015 kwenye ukumbi wa Tabeer Hall uliopo University Blvd East, Hyattsville, Maryland, Nchini Marekani. (Picha na swahilivilla)
Aidha amesema matarajio ya...

 

10 years ago

Michuzi

Jitu Son atoa baiskeli na kompyuta kwa wananchi wa jimbo lake

Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mkoani Manyara Jitu Vrajlal Son, akiwakabidhi kompyuta Makamu Mkuu wa shule ya sekondari Chief Dodo ya Kata ya Riroda Jackson Warae na Mratibu elimu kata ya Riroda Peter Yaghambe, mbunge huyo aligawa kompyuta tano kwenye tarafa ya Goroi ambapo kila shule ya sekondari kwenye kata tano za tarafa hiyo zilipata kompyuta moja, katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Nicodemus Tarmo.Mafundi wakiziweka sawa baiskeli 32 za wahudumu wa afya vijijini...

 

11 years ago

Michuzi

Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa

 Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano, Mhe.David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake Picha na na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa waliowachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe...

 

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Masauni anavyo ng’ang’ana kuhodhi Jimbo la Kikwajuni

Visiwa vya Zanzibar vinakabiliwa na changamoto nyingi lakini kubwa ni ukosefu wa ajira kwa vijana, uraibu wa dawa za kulevya, mzunguko mdogo wa fedha na ongezeko la watu ambalo halilingani na rasilimali zilizopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani