Mhe. Jussa asema Suala la Katiba mpya halijafikiwa kama Wananchi walivyotarajia
Na Abou Shatry Washington DC
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe: Ismail Jussa Ladhu amesema Tanzania inaelekea kusipotarajiwa na maoni ya wananchi waliyotoa maoni.Muwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV Siku ya Jumamosi Feb 28, 2015 kwenye ukumbi wa Tabeer Hall uliopo University Blvd East, Hyattsville, Maryland, Nchini Marekani. (Picha na swahilivilla)
Aidha amesema matarajio ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWAKILISHI WA KIKWAJUNI MHE MAHMOUD ATOWA ELIMU YA KATIBA MPYA KWA WANANCHI WA JIMBO LAKE
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Suala la katiba mpya lisifanyiwe mzaha
BAADA ya takribani siku zaidi ya 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kupitia ibara 17 za rasimu ya katiba mpya...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Suala la Mahakama ya Kadhi katika Mchakato wa Katiba Mpya
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s72-c/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ILANI ZA CHADEMA /UKAWA NA CCM ZINAVYOSEMA KUHUSU SUALA LA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s640/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ya Chadema/UKAWA
Mosi, maelezo ya Mkt wa CHADEMA yanasema kuwa..."UKAWA inajengwa katika msingi mkuu wa kubadilisha katiba iliyopo ili kuweka katiba ya wananchi kwa ajili ya maendeleo yao. Katika kipindi hiki ambacho hali ya maisha ya Watanzania imeendelea kuwa duni, uchumi wa nchi yetu umeyumba, ubora wa elimu ni wa mashaka, ajira kwa vijana ni za kubahatisha na ukiukwaji na uvunjifu wa haki za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
10 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA MHE. JUSSA ALIPOONGEA NA WANADMV
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydUyAi6S7O7hcYX1dCYfGUaFhPkVfkYRwcOEPbd9SpwbbrstmNHJNZ9ZKNDqipNe-smA-w2F6mBOcejsV6z05YfM/katiba.jpg?width=650)
KAMA IKIBIDI, TUAHIRISHE KATIBA MPYA
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Katiba mpya kama kawa-Mwakyembe
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MBOWE ASEMA MOTO WA KUDAI KATIBA MPYA HAUZIMIKI