Katiba mpya kama kawa-Mwakyembe
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema Rais amempa kazi ya kuhakikisha anakamilisha mchakato wa Katiba Mpya pamoja na uanzishwaji wa Mahakama ya Rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Dec
DIAMOND NDANI BURUNDI NI SHIIIIDA ZARI KAMA KAWA KAWA DAWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/240.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/39.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/46.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/55.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/66.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/76.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/1515782_813759588680773_361530474_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10843796_1600128320221330_1387340386_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10848256_1562372814004909_1103692674_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864869_1532023193734930_727265778_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864970_1592259054322814_1268864582_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10890552_323662227824937_934916415_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10891006_431393020343188_1378749524_n.jpg)
Picture by http://instagram.com/wcb_wasafi Picha kwa hisani ya DjChoka.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISAEFhGnA0CF-8ZruaIQHuNgzHxvpLfeAiCs*rD*UEk8NWDhS-lEvaJwjOUCn0*S7iaBIVKMD8MArCe3c1wQlHbH/moko.jpg)
KANGA MOKO KAMA KAWA
Stori:Â Erick Evarist na Musa Mateja
MIEZI michache kufuatia tamko la serikali kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia. Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtJrJT65-pmr0wpAYfyIYJwm5r*xY03keNu7C0YdPzxMtt8DDX5dCIHQrPCAzHmk1wvm54JbwBZKZbnPoZMKBLbp/AWADHNANDITI.jpg?width=650)
SIMBA KAMA KAWA SARE TENA
SIMBA SC imetoa sare ya sita mfululizo tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro jioni ya leo. Ushindi huo, unawafanya Mtibwa wafikishe pointi 14 kileleni mwa ligi hiyo, wakati Simba SC imefikisha pointi 6 leo Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa tayari inaongoza kwa bao 1-0, lililotiwa kimiani na beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino dakika ya 35...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s72-c/vinyl-records2.jpg)
"MISHUMAA YA KALE" leo kama kawa.......USIKOSE
![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s1600/vinyl-records2.jpg)
Katika kipindi hiki, utaweza "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi...
11 years ago
GPLDIAMOND KAMA KAWA, ATWAA TUZO AFRIMMA
Diamond wakati akielekea kwenye ukumbi linapofanyika zoezi la utoaji tuzo za Afrimma. STAA wa B ongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' mpaka sasa ametwaa tuzo moja ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki katika Tuzo za Afrimma zinazoendelea jijini Texas nchini Marekani. Staa huyo anawania tuzo katika vipengele vitano ambavyo ni: Msanii bora wa mwaka Afrika, Wimbo wa mwaka, Collabo bora, Video bora ya… ...
10 years ago
GPLBAADA YA MVUA, SOKO LA MABIBO KAMA KAWA!
Lango kuu la kuingia katika soko la Mabibo jijini Dar es Salaam, watu wakiwa katika hekaheka za kuingia na kutoka. Mwendesha baiskeli ya miguu mitatu (maarufu kama guta) akionekana kutoa mizigo ndani ya soko la kuuzia vyakula vya nafaka. Hekaheka zikiendelea sokoni hapo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCkEe73mDaQl85MAQ0CcAee38-aGaNz8scvPwvWKuEu2hbZxXg4jJxG7rK9cBZcQDLb1ZHehG*JYqTRP8kp7pJ8X/wa.gif?width=650)
Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA wa nafasi ya urais kwenye Klabu ya Simba, Michael Wambura, ameonyesha kuwa yeye ni kiboko yao baada ya kukata tena rufaa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wambura aliwasilisha rufaa yake kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, jana, akipiga kitendo cha kuondolewa na Kamati ya Uchaguzi ya Simba kwa madai kuwa alipiga kampeni kabla ya...
11 years ago
GPLMGOMO WA STRABAG WAMALIZIKA KINYEMELA, KAZI ‘KAMA KAWA’
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa daraja la Ubungo.
Caterpillar likifanya kazi maeneo ya Kanisa - Kinondoni.
Muonekanao wa moja ya vituo vya mabasi yaendayo kasi eneo la Ubungo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydUyAi6S7O7hcYX1dCYfGUaFhPkVfkYRwcOEPbd9SpwbbrstmNHJNZ9ZKNDqipNe-smA-w2F6mBOcejsV6z05YfM/katiba.jpg?width=650)
KAMA IKIBIDI, TUAHIRISHE KATIBA MPYA
NIMSHUKURU sana Mungu, muumba wa mbingu na ardhi kwa kuweza kutufikisha tena leo, kama alivyofanya jana, juzi na kila siku bila ya sisi kutumia gharama yoyote. Vitendo vyake kwetu ni vya utukufu mkuu, ingawa mara nyingi binadamu tumekuwa tukifanya vitu vingi vya kumkwaza. Jaji Joseph Sinde Warioba. Baada ya kusema maneno hayo, naomba sasa niende kwenye hoja yangu ya leo, ambayo kwa hakika ni ya msingi sana kama bado tunataka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania