Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA MVUA, SOKO LA MABIBO KAMA KAWA!

Lango kuu la kuingia katika soko la Mabibo jijini Dar es Salaam, watu wakiwa katika hekaheka za kuingia na kutoka. Mwendesha baiskeli ya miguu mitatu (maarufu kama guta) akionekana kutoa mizigo ndani ya soko la kuuzia vyakula vya nafaka. Hekaheka zikiendelea sokoni hapo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NDANI BURUNDI NI SHIIIIDA ZARI KAMA KAWA KAWA DAWA

Hapa Diamond akiwa na Zari wakitola kwenye uwanja wa ndege huko Burundi kama unavyoona Zari mkono kwa mkono na Diamond kama kawa kama dawa kiroho safi. Diamond yupo ndani ya Burundi kikazi zaidi kwa picha zaidi jitiririshe chini kwa kubofya soma zaidi kiroho safi. 
Picture by http://instagram.com/wcb_wasafi Picha kwa hisani ya DjChoka.

 

10 years ago

GPL

KANGA MOKO KAMA KAWA

Stori:  Erick Evarist na Musa Mateja
MIEZI michache kufuatia tamko la serikali  kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia. Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake...

 

9 years ago

Mwananchi

Katiba mpya kama kawa-Mwakyembe

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema Rais amempa kazi ya kuhakikisha anakamilisha mchakato wa Katiba Mpya pamoja na uanzishwaji wa Mahakama ya Rushwa.

 

10 years ago

GPL

SIMBA KAMA KAWA SARE TENA

SIMBA SC imetoa sare ya sita mfululizo tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro jioni ya leo. Ushindi huo, unawafanya Mtibwa wafikishe pointi 14 kileleni mwa ligi hiyo, wakati Simba SC imefikisha pointi 6 leo Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa tayari inaongoza kwa bao 1-0, lililotiwa kimiani na beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino dakika ya 35...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND KAMA KAWA, ATWAA TUZO AFRIMMA

Diamond wakati akielekea kwenye ukumbi linapofanyika zoezi la utoaji tuzo za Afrimma. STAA wa B ongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' mpaka sasa ametwaa tuzo moja ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki katika Tuzo za Afrimma zinazoendelea jijini Texas nchini Marekani. Staa huyo anawania tuzo katika vipengele vitano ambavyo ni: Msanii bora wa mwaka Afrika, Wimbo wa mwaka, Collabo bora, Video bora ya… ...

 

10 years ago

Vijimambo

"MISHUMAA YA KALE" leo kama kawa.......USIKOSE

Photo Credits: Ye Olde Vivyl Shoppe Baada ya pilika za wiki nzima, na mchamchaka wa maisha, sasa unakuja wakati wa kuburudika na muziki halisi wa zamani.
Katika kipindi hiki, utaweza "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi...

 

11 years ago

GPL

Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA wa nafasi ya urais kwenye Klabu ya Simba, Michael Wambura, ameonyesha kuwa yeye ni kiboko yao baada ya kukata tena rufaa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wambura aliwasilisha rufaa yake kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, jana, akipiga kitendo cha kuondolewa na Kamati ya Uchaguzi ya Simba kwa madai kuwa alipiga kampeni kabla ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MABIBO WAMLILIA MKUU WA WILAYA YA KINONDONI

Mkuu wa Wialaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda akikagua Mazingira ya Soko la Mahakama ya Ndizi lililopo Mabibo akiwa ameambatana na Viongozi wa wafanyabiashara wa soko hilo  alipofika kusikiliza kilio chao. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ametembelea Soko hilo baada ya viongozi wa soko hilo kufikisha kilio chao cha muda mrefu  kwake.Wafanyabiashara hao kilio chao kikubwa kwa Mkuu wa wilaya hawajui hatma ya biashara yao Sokoni hapo kwa kuwa  eneo wanalofanyia biashara sio rasmi kwajili ya soko bali...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MABIBO WAMLILIA MKUU WA WILAYA YA KINONDONI‏


Mkuu wa Wialaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda akikagua Mazingira ya Soko la ndizi la Lililopo Mabibo akiwa ameambatana na Viongozi wa wafanyabiashara wa soko hilo leo alipofika kusikiliza kilio chao.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ametembelea Soko hilo leo mara baada ya viongozi wa soko hilo kufikisha kilio chao cha muda mrefu  kwake na Ndipo alipoamua kufika mara moja kuwasikiliza.Wafanyabiashara hao kilio chao kikubwa kwa Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani