PICHA ZINGINE ZA MHE. JUSSA ALIPOONGEA NA WANADMV
Mhe. Jussa akiongea na wanaDMV
Katibu wa CHADEMA DMV Liberatus Mwang'ombe akiongea kusisitiza jambo
Aliyekuwa makamu wa Rais DMV Bwn. Ray Abraham akiuliza swali.
Meza kuuu
Katibu mwenezi na Itoikadi CCM DMV akiuliza swali
Bishop Martulu akiongea jambo. Picha na Tito Mazali
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA KUMUAGA MHE. LIBERATA MULAMULA KUTOKA TEMBAPHOTO JITIRIRISHE HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dJLD2vgF4J0/default.jpg)
10 years ago
VijimamboMHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA
Mhe. Samwel Sitta amewasili nchini Marekani siku ya Jumapili Februari 22, 2015 na baadae jioni kukutana na Watanzania wa DMV na kuwafafanulia vifungu vya katiba iliyopendekezwa hasa kwenye swala la Serikali tatu na kueleza ni kwanini CCM ilipendelea serikali 2 na pia kufafanua swala la uraia pacha ambalo ndio kilio cha Diaspora na kuelezea kwa kina kifungu hicho ndani ya katiba iliyopendekezwa Mtanzania yeyote mwenye uraia wa nchi nyingine atakua na haki kama Mtanzania mwingine ikiwemo...
10 years ago
GPLMHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA
Mhe. Samwel Sitta akiongea na mwenyeji wake jambo Mhe. Liberata Mulamula. Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samwel Sitta (kati) akiambatana na mwenyeji wake Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Liberata Mulamula kuingia kwenye ukumbi wa Tabeer uliopo Hyattsville, Maryland nchini Marekani. …
10 years ago
VijimamboMhe. Jussa asema Suala la Katiba mpya halijafikiwa kama Wananchi walivyotarajia
Na Abou Shatry Washington DC
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe: Ismail Jussa Ladhu amesema Tanzania inaelekea kusipotarajiwa na maoni ya wananchi waliyotoa maoni.
Muwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV Siku ya Jumamosi Feb 28, 2015 kwenye ukumbi wa Tabeer Hall uliopo University Blvd East, Hyattsville, Maryland, Nchini Marekani. (Picha na swahilivilla)
Aidha amesema matarajio ya...
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe: Ismail Jussa Ladhu amesema Tanzania inaelekea kusipotarajiwa na maoni ya wananchi waliyotoa maoni.
Aidha amesema matarajio ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/waKrMMwGXhE/default.jpg)
Angalia Video za maswali na majibu za mkutano wa Mhe. Jussa, Sehemu ya kwanza hadi ya Tisa
Muwakilishi wa Jimbo la Stone, Town, Zanzibar Mhe. Ismail Jussa kupitia chama cha wanainchi CUF ambae pia mjumbe wa UKAWA aliweza kuongea na waTanzania waishio. (DMV) na kumuuliza maswali mbali mbali kuhusu mustakabali wa nchi yetu, Siku ya Jumamosi Feb 28, 2015.
Kwa video zaidi bofya soma zaidi
Kwa video zaidi bofya soma zaidi
10 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA FIESTA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s72-c/_MG_6249.jpg)
PICHA ZINGINE MAGUFULI SUMBAWANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vLuCwXZnXQ/VdykXchDPxI/AAAAAAAC-Dw/NRmG7HmOFEo/s640/_MG_6285.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Mar
PICHA ZINGINE MNUSO WA TBN
![Baadhi ya bloggers na wageni waalikwa walioshiriki katika hafla ya kihistoria ya TBN iliyoutanisha bloggers anuai kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na Visiwani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0184.jpg)
![Mkongwe kwa maswala ya kublog hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wageni waalikwa juu ya kukutana kwao kwenye hafla hilo iliyofanyika juzi Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0085.jpg)
![Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu wa hafla ya TBN, akizungumza machache katika hafla hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0070.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania