Angalia Video za maswali na majibu za mkutano wa Mhe. Jussa, Sehemu ya kwanza hadi ya Tisa
![](http://img.youtube.com/vi/waKrMMwGXhE/default.jpg)
Muwakilishi wa Jimbo la Stone, Town, Zanzibar Mhe. Ismail Jussa kupitia chama cha wanainchi CUF ambae pia mjumbe wa UKAWA aliweza kuongea na waTanzania waishio. (DMV) na kumuuliza maswali mbali mbali kuhusu mustakabali wa nchi yetu, Siku ya Jumamosi Feb 28, 2015.
Kwa video zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LcvBHoFaxkE/VNm0Z4j7xzI/AAAAAAAAS7E/iCgUrOu5RvI/s72-c/SITTA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-LcvBHoFaxkE/VNm0Z4j7xzI/AAAAAAAAS7E/iCgUrOu5RvI/s1600/SITTA.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI
Moja ya changamoto tulizonazo katika mapambano dhidi ya VVU ni tatizo hilo kugusa kila rika na zaidi hasa vijana ambao wako katika hatari ya kupata maambukizi. Ingawa ugonjwa huu umedumu kwa zaidi ya miaka 30 sasa, lakini bado kuna maswali mengi ambayo watu hawayafahamu kuhusu ugonjwa huu.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)
Maambukizi ya VVU kwa mashine za kunyolea ni 2% ya maambukizi yote.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu
Huku wakenya wakiadhimisha mwaka 1 tangu shambulizi la Westgate ,Maswali mengi hayajapata majibu .
10 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA MHE. JUSSA ALIPOONGEA NA WANADMV
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania