Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi

RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia mifugo yao kenye Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba

Igunga/Babati. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka viongozi wa Mkoa wa Manyara, kuwagawia wananchi mashamba yaliyorudishwa serikalini baada ya wawezaji kushindwa kuyaendeleza kabla hajaingia madarakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi

>Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imeamua kufuta miliki ya mashamba yote makubwa yasiyoendelezwa na taratibu mpya zinafanyika ili kuyamilikisha kwa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji Kapunga Rice anatukodisha mashamba-Wananchi

>Hivi karibuni wananchi wilayani Mbarali walilalamikia kitendo cha kukodishwa mashamba ya kulima mpunga kwa masharti magumu yanayotolewa na Mwekezaji wa Kampuni ya Kapunga Rice Project Limited.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi kurejeshewa mashamba ACT wakiingia madarakani

Katika harakati za kampeni zinazoendelea kote nchini za kutafuta Rais wabunge pamoja na madiwani vyama mbalimbali vya kiasiasa vinavyotafuta uongozi kupita kwa wagombea wake vimezidi kutoa sera zao kuomba kura kwa wananchi ambapo chama cha ACT wazalendo kimesema kitarejesha ardhi kwa wananchi.

Mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo Anna Mgwila ameahidi kuwa endapo atachaguliwa atahakikisha anayarudisha kwa wananchi mashamba yote ambayo Serikali iliwapa wawekezaji na kuwasababishia...

 

9 years ago

Michuzi

EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.

SERIKALI imetwaa jumla ya Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania plantatition limited yaliyokua yakimilikiwa na mwekezaji  kutoka nje ,mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba .
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925  hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...

 

10 years ago

GPL

KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE

Mheshimiwa Stephen Hilary Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’. Na Abdallah Juma, Tanga Korogwe ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Upande wa Kaskazini, Korogwe imepakana na Wilaya ya Lushoto, Mashariki kuna Wilaya ya Muheza, Kusini kuna wilaya ya Handeni na Magharibi kuna Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani ya wilaya hiyo, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, likiwemo Korogwe Vijijini linaloongozwa na Mheshimiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Waomba Katiba mpya iharakishwe kugawiwa

Mwananchi akisoma katibaSERIKALI imeombwa kuharakisha utekelezaji wa ahadi yake ya kusambaza nakala za Katiba Inayopendekezwa ili kuwezesha wananchi kuisoma kikamilifu na hatimaye waweze kufanya uamuzi sahihi wakati wa zoezi la upigaji wa kura ya maoni linalotarajia kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Migogoro ya mashamba TZ

Haba Na Haba inaangaazia uwekezaji kwenye ardhi namigogoro baina ya wananchi na wawekezaji wa mashamba makubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani