Migogoro ya mashamba TZ
Haba Na Haba inaangaazia uwekezaji kwenye ardhi namigogoro baina ya wananchi na wawekezaji wa mashamba makubwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Wakulima wa miwa kupewa mashamba
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Mashamba ya bangi yateketezwa Moro
OPERESHENI maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kutokomeza mashamba ya bangi imefanyika na kufanikiwa kuwakamata watu wanne wamiliki wa mashamba hayo katika Wilaya za Kilosa, Mvomero na Morogoro....
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mashamba yaanza kuhakikiwa Monduli
10 years ago
Habarileo15 Mar
Viongozi wahimizwa mashamba darasa
VIONGOZI wakiwemo mawaziri, wabunge na madiwani wametakiwa kuwa na mashamba darasa kwa ajili ya kuhamasisha mkakati wa Kilimo Kwanza ili kiweze kuwa na tija kwa wakulima.
11 years ago
Habarileo31 May
Upimaji mashamba ya mkonge wakamilika
SERIKALI imekamilisha awamu ya kwanza ya upimaji mashamba ya wakulima wadogo wa mkonge ili kuwapatia hati miliki zitakazowezesha kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa ajili ya kuendeleza zao la mkonge.
11 years ago
Michuzi29 May
26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Mashamba ya Balali kufutiwa umiliki
MASHAMBA yanayodaiwa kumilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu nchini, hayati Daudi Balali yameridhiwa na Baraza la Madiwani wilayani Kilombero kufutiwa umiliki wake. Taarifa ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Daudi...
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.