Mwekezaji Kapunga Rice anatukodisha mashamba-Wananchi
>Hivi karibuni wananchi wilayani Mbarali walilalamikia kitendo cha kukodishwa mashamba ya kulima mpunga kwa masharti magumu yanayotolewa na Mwekezaji wa Kampuni ya Kapunga Rice Project Limited.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Sep
Magufuli aahidi kurejesha mashamba Kapunga
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi atakapochaguliwa kuwa rais, atarudisha sehemu ya mashamba ya Kapunga ya wilayani Mbarali katika mkoa wa Mbeya kwa wananchi.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi
9 years ago
StarTV15 Sep
Wananchi kurejeshewa mashamba ACT wakiingia madarakani
Katika harakati za kampeni zinazoendelea kote nchini za kutafuta Rais wabunge pamoja na madiwani vyama mbalimbali vya kiasiasa vinavyotafuta uongozi kupita kwa wagombea wake vimezidi kutoa sera zao kuomba kura kwa wananchi ambapo chama cha ACT wazalendo kimesema kitarejesha ardhi kwa wananchi.
Mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo Anna Mgwila ameahidi kuwa endapo atachaguliwa atahakikisha anayarudisha kwa wananchi mashamba yote ambayo Serikali iliwapa wawekezaji na kuwasababishia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s72-c/IMG-20150326-WA0021.jpg)
WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xOfh3ig93g/VRUEs4eivkI/AAAAAAAANiU/ZzNJTcjuVIU/s640/IMG-20150326-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHjFWUey6fw/VRUEwVpR_GI/AAAAAAAANis/DU1NVXaHkqE/s640/IMG-20150326-WA0045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fZkyHvquF3E/VRUFzAN42pI/AAAAAAAANi4/Lv5BOJsiEJ4/s1600/IMG-20150326-WA0034.jpg)
9 years ago
StarTV06 Jan
Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi
Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.
Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.
Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...
10 years ago
GPL![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1738.jpg?width=650)
KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE
9 years ago
Michuzi10 Sep
EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...