Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi
Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.
Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.
Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Serikali ilivyouza wananchi na mali zao kwa mwekezaji
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Mwekezaji Kapunga Rice anatukodisha mashamba-Wananchi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s72-c/IMG-20150326-WA0021.jpg)
WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xOfh3ig93g/VRUEs4eivkI/AAAAAAAANiU/ZzNJTcjuVIU/s640/IMG-20150326-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHjFWUey6fw/VRUEwVpR_GI/AAAAAAAANis/DU1NVXaHkqE/s640/IMG-20150326-WA0045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fZkyHvquF3E/VRUFzAN42pI/AAAAAAAANi4/Lv5BOJsiEJ4/s1600/IMG-20150326-WA0034.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Wananchi Arumeru wavamia shamba la mwekezaji la Karamu Estate
![](http://4.bp.blogspot.com/-3n5ZMWicNEo/VRUEpDUE6bI/AAAAAAAANh4/koI112_IHlA/s640/IMG-20150326-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NOU9jQxcMz8/VRUErJKAbaI/AAAAAAAANiE/3loJ8dPBeT0/s640/IMG-20150326-WA0033.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![IMG-20150326-WA0034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG-20150326-WA0034.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilo la Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.
Baadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha ARUMERU, Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
![370](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/370.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Arejesha tuzo kwa mauaji ya Gaza
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Drogba arejesha alichojaaliwa kwa jamii.
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba
MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...