Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU

Baaadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamaba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilola Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi Arumeru wavamia shamba la mwekezaji la Karamu Estate

IMG-20150326-WA0035

IMG-20150326-WA0034

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilo la Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.

IMG-20150326-WA0045

Baadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.

Baadhi ya wananchi katika kijiji cha ARUMERU, Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE JOSHUA NASSAR AWAONGOZA WANANCHI KATIKA MAKABIDHIANO YA HEKARI 92 ZA SHAMBA LA MADIIRA ARUMERU

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar akitia saini katika kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Siela Sing'isi alipotembelea katika kijiji hicho cha Sing'isi.Mpima wa Halmashauri ya wilaya ya Meru ,Seveline Luambano akiwaonesha wananchi wa vijiji vya Sing'isi na Malala,mipaka pamoja na michoro ya ramani ya eneo la hekari 92 zilizotolewa kwa vijiji hivyo .zoezi hilo limeshuhudiwa na Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar.Mbunge Nassari akiwaongoza wananchi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shamba la mwekezaji lavamiwa

WANANCHI zaidi ya 60 wamevamia shamba la muwekezaji mwenye asili ya kiasia, Pradeep Lodhia na kufanya uharibifu wa mali mbalimbali. Wananchi hao walivamia shamba la mwekezaji huyo lijulikanalo kama Tanzania Plantation lililopo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi watishia kupoka shamba la mwekezaji

Wafanyakazi zaidi ya 107 katika shamba la mwekezaji la Lucy Estates, wameiomba Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru iwasaidie kumshinikiza mwekezaji huyo awalipe fidia ya shamba la hekari 400 alizozitoa kwa ajili ya kuwalipa kama sehemu ya malipo yao kabla hawajaamua kuchukua hatua ya kuzipoka.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru

>Serikali imemwagiza mwekezaji kwenye shamba la Karangai, Pradep Zodia kurejesha kwa wananchi zaidi ya hekari 2,000  ambazo ameziuza kwa wawekezaji wengine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji wavamia shamba Morogoro, wagawana

WAKAZI wa Kijiji cha Lubungo A, Kata ya Mikese, wilayani Morogoro, wamevamia shamba linalodaiwa kupewa mwekezaji kinyemela na uongozi wa kijiji wakishirikiana na wilaya na kugawiana kisha kukesha wakifyeka msitu....

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WAVAMIA ENEO LA MWEKEZAJI ,WACHOMA NYUMBA ,MAGARI


Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Siha ,Rashid Kitambulilo akimuongoza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea eneo la mwekezaji la Tanganyika Film and Safari ambako wafugaji jamii ya Masai wanadaiwa kufanya uharibifu mkubwa.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wakitizama uharibifu  uliofanywa na wafugaji jamii ya Masai.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akitizama moja ya gari lililochomwa moto na watu wanaodaiwa...

 

11 years ago

Habarileo

JK awapa wananchi shamba la Efatha

RAIS Jakaya Kikwete ameagiza kurejeshwa kwa shamba la ekari takribani 12,000 kwa wananchi ambalo liliuzwa kwa taasisi ya Efatha Ministry inayoongozwa na Nabii Josephat Mwingira. Agizo hilo la Rais Kikwete limetolewa jana kupitia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana wakati akiwahutubia wakazi wa Kata ya Moro katika Kijiji cha Mawenzusi.

 

9 years ago

StarTV

Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi

Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.

Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.

Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani