JK awapa wananchi shamba la Efatha
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza kurejeshwa kwa shamba la ekari takribani 12,000 kwa wananchi ambalo liliuzwa kwa taasisi ya Efatha Ministry inayoongozwa na Nabii Josephat Mwingira. Agizo hilo la Rais Kikwete limetolewa jana kupitia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana wakati akiwahutubia wakazi wa Kata ya Moro katika Kijiji cha Mawenzusi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s72-c/IMG_3343.jpg)
KINANA AJITWISHA MGOGORO SUGU WA SHAMBA LA TAASISI YA EFATHA NA WANANCHI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s1600/IMG_3343.jpg)
Kinana alisema kitendo cha Serikali kuchukua shamba hilo na kulibinafsisha kwa Efatha bila kuwapa taarifa wanakijiji ni kuwadhulumu wanakijiji hao. "Tutakwenda kulifanyia kazi suala hili haiwezekani shamba la zaidi ya ekari 10,000 likae tu bila shughuli yoyote, Nawaambieni hivi. shamba lenu mmedhulumiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s72-c/IMG-20150326-WA0021.jpg)
WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xOfh3ig93g/VRUEs4eivkI/AAAAAAAANiU/ZzNJTcjuVIU/s640/IMG-20150326-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHjFWUey6fw/VRUEwVpR_GI/AAAAAAAANis/DU1NVXaHkqE/s640/IMG-20150326-WA0045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fZkyHvquF3E/VRUFzAN42pI/AAAAAAAANi4/Lv5BOJsiEJ4/s1600/IMG-20150326-WA0034.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Wananchi Arumeru wavamia shamba la mwekezaji la Karamu Estate
![](http://4.bp.blogspot.com/-3n5ZMWicNEo/VRUEpDUE6bI/AAAAAAAANh4/koI112_IHlA/s640/IMG-20150326-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NOU9jQxcMz8/VRUErJKAbaI/AAAAAAAANiE/3loJ8dPBeT0/s640/IMG-20150326-WA0033.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![IMG-20150326-WA0034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG-20150326-WA0034.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilo la Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.
Baadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha ARUMERU, Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s72-c/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
Lukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s640/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ByZFa29UNMY/VoyCQD_AzrI/AAAAAAAIQt0/Rwv2vS91WcU/s640/7b4c40f9-891c-4581-9f79-ef45514af89f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GLEr8u4uYAM/VoyCPnC0c6I/AAAAAAAIQtk/hvJ8x6ayLg4/s640/e2f3b1da-2074-4b35-bb8c-2c4579a3e7d5.jpg)
10 years ago
MichuziMBUNGE JOSHUA NASSAR AWAONGOZA WANANCHI KATIKA MAKABIDHIANO YA HEKARI 92 ZA SHAMBA LA MADIIRA ARUMERU
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0IeuYP386UE/VY1Q0LQSwdI/AAAAAAADVEU/WhC-5fEzvZ8/s72-c/2209.jpg)
ZITTO AWAPA POLE WANANCHI WA MASASI NA ABIRIA WALIOPATA AJALI MKONI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IeuYP386UE/VY1Q0LQSwdI/AAAAAAADVEU/WhC-5fEzvZ8/s640/2209.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UqRfp9YSggU/VY1Q0ECWcEI/AAAAAAADVEM/6KuOjydA0Yc/s640/1292.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ap-Bdnn7CIE/VY1Q0cTrdQI/AAAAAAADVEQ/A46BtLfEKFU/s640/4155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ng5xS17QQHA/VY1RCTk4_wI/AAAAAAADVEs/gdxVyE7IrAc/s640/mail.google.com_28.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s72-c/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)