Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi

 Shamba la kapunga lililokuwa na Mgogoro wa zaidi ya Miaka kumi ambalo kwa sasa limerudishwa kwa wananchi kutoka kwa Muwekezaji. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwarudishia wananchi shamba la Hekta 1,870 kutoka kwa Muwekezaji wa kampuni ya Export Trading Company kijiji cha Kapunga Wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abasi Kandoro na Katikati ni Muwekezaji Mahesh Patel.Wananchi wa Kapunga wakiwa katika mkutano ulioitishwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwasili katika uwanja wa ndege wa Mjini Sumbawanga jana tarehe 25/03/2013 kwa ajili ya ziara ya siku mbili Mkoani Rukwa moja ikiwa kufuatilia migogoro sugu ya ardhi ukiwemo wa shamba la Skaungu ambapo ameonana na wananchi na viongozi wa vijiji kumi vinavyolizunguka shamba hilo ambalo lina mgogoro wa muda mrefu kati ya Mmiliki Ephata Ministry na wananchi hao. Lengo la pili la ziara yake ni kuweka jiwe la msingi katika nyumba...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU


 Ujumbe mwingine uliokuwa kwenye mabango hayo.Ujumbe mwingine ukinyesha kuwa toka Kijiji hicho kianzishwe mwaka 2008 na kupewa hati wananchi hao wamekuwa hawana haki na sehemu ya ardhi yao ambayo ipo ndani ya shamba la Muwekezaji huyo. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Skaungu muda mfupi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi kuzungumzia lengo la ziara yake katika Kijiji hicho, alisema ni muda sasa kumaliza mgogoro huo.  

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AJITWISHA MGOGORO SUGU WA SHAMBA LA TAASISI YA EFATHA NA WANANCHI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA.

 Sehemu ya umati wa wananchi ukimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana (katikati) alipokuwa akiwahutubia katika Kijiji cha Mawenzusi,wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa.

 Kinana alisema kitendo cha Serikali kuchukua shamba hilo na kulibinafsisha kwa Efatha bila kuwapa taarifa wanakijiji ni kuwadhulumu wanakijiji hao. "Tutakwenda kulifanyia kazi suala hili haiwezekani shamba la zaidi ya ekari 10,000 likae tu bila shughuli yoyote, Nawaambieni hivi. shamba lenu mmedhulumiwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU KWA MIAKA 15 BILA UTATUZI WAMALIZWA NA MH.LUKUVI.

Hatimaye mgogoro wa ardhi wa zaidi hekta 200 baina ya wananchi wa chasimba na uongozi wa kiwanda cha saruji cha Twiga umemalizwa na waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Mhe.Wiliam Lukuvi akitangaza kubadili matumizi ya ardhi hiyo kuwa ya makazi yao kutoka mikononi kiwanda kama eneo la kuchimba madini.

Waziri Lukuvi ambaye ameandika historia katika mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 alifuatana na uongozi wa kiwanda,manispaa Kinondoni,Tanesco,mbunge wa kawe idara ya maji,piolisi na...

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi aombwa kufuta hati ya shamba

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameombwa kufuta hati ya shamba la mwekezaji katika Kijiji cha Kenyana Kata ya Ring’wani wilayani hapa Mkoa wa Mara kwa madai ya kushindwa kuliendeleza.

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi ajitosa mgogoro wa Efatha

Waziri wa Ardhi na Makazi , William Lukuvi WAZIRI wa Ardhi na Makazi , William Lukuvi amesema serikali itatoa uamuzi wa mgogoro wa shamba la Malonje na vijiji 10 vinavyolizunguka kabla ya Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi amaliza mgogoro mji mpya Kigamboni

lukuviiiiNa Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ametegua kitendawili kuhusu hatima ya madai ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.

Lukuvi amesema kutokana na hali hiyo kuanzia sasa kila mwananchi mwenye kiwanja au nyumba yake atalazimika kuuza kiwanja chake kwa bei anayoitaka au kujenga nyumba kwa mujibu wa ramani ya mji mpya

Akizungumza na wananchi hao juzi katika mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Kumbukumbu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviHATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi

Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani