Lukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s72-c/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
Shamba la kapunga lililokuwa na Mgogoro wa zaidi ya Miaka kumi ambalo kwa sasa limerudishwa kwa wananchi kutoka kwa Muwekezaji.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwarudishia wananchi shamba la Hekta 1,870 kutoka kwa Muwekezaji wa kampuni ya Export Trading Company kijiji cha Kapunga Wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abasi Kandoro na Katikati ni Muwekezaji Mahesh Patel.
Wananchi wa Kapunga wakiwa katika mkutano ulioitishwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s72-c/P3258671.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s640/P3258671.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s72-c/P3258764.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s1600/P3258764.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ZZZ9DygmcY/VRMCWW7_VnI/AAAAAAAAGsc/xOdJIpYlOqM/s1600/P3258776.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xv-tp1X3jk/VRMCXKUkUgI/AAAAAAAAGsk/X-yLenN2-zk/s1600/P3258783.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4Bqh90N8CE/VRMCYiFbpkI/AAAAAAAAGs0/mru-NMziBfY/s1600/P3258823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s72-c/IMG_3343.jpg)
KINANA AJITWISHA MGOGORO SUGU WA SHAMBA LA TAASISI YA EFATHA NA WANANCHI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s1600/IMG_3343.jpg)
Kinana alisema kitendo cha Serikali kuchukua shamba hilo na kulibinafsisha kwa Efatha bila kuwapa taarifa wanakijiji ni kuwadhulumu wanakijiji hao. "Tutakwenda kulifanyia kazi suala hili haiwezekani shamba la zaidi ya ekari 10,000 likae tu bila shughuli yoyote, Nawaambieni hivi. shamba lenu mmedhulumiwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NYMbURyVt1I/VX2Of2Lo0gI/AAAAAAABQK8/vIZWIlPRU94/s72-c/lukuvi1.jpg)
MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU KWA MIAKA 15 BILA UTATUZI WAMALIZWA NA MH.LUKUVI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-NYMbURyVt1I/VX2Of2Lo0gI/AAAAAAABQK8/vIZWIlPRU94/s640/lukuvi1.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Lukuvi aombwa kufuta hati ya shamba
10 years ago
Habarileo27 Mar
Lukuvi ajitosa mgogoro wa Efatha
WAZIRI wa Ardhi na Makazi , William Lukuvi amesema serikali itatoa uamuzi wa mgogoro wa shamba la Malonje na vijiji 10 vinavyolizunguka kabla ya Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro mji mpya Kigamboni
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ametegua kitendawili kuhusu hatima ya madai ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Lukuvi amesema kutokana na hali hiyo kuanzia sasa kila mwananchi mwenye kiwanja au nyumba yake atalazimika kuuza kiwanja chake kwa bei anayoitaka au kujenga nyumba kwa mujibu wa ramani ya mji mpya
Akizungumza na wananchi hao juzi katika mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Kumbukumbu ya...
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10