MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU KWA MIAKA 15 BILA UTATUZI WAMALIZWA NA MH.LUKUVI.
Hatimaye mgogoro wa ardhi wa zaidi hekta 200 baina ya wananchi wa chasimba na uongozi wa kiwanda cha saruji cha Twiga umemalizwa na waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Mhe.Wiliam Lukuvi akitangaza kubadili matumizi ya ardhi hiyo kuwa ya makazi yao kutoka mikononi kiwanda kama eneo la kuchimba madini.
Waziri Lukuvi ambaye ameandika historia katika mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 alifuatana na uongozi wa kiwanda,manispaa Kinondoni,Tanesco,mbunge wa kawe idara ya maji,piolisi na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLTUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mgogoro mpaka wa ardhi Ikorongo watua kwa Lukuvi
5 years ago
MichuziUTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
Sehemu ya...
5 years ago
MichuziUTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU OFISINI
Sehemu ya wananchi wa jiji la Dar es...
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
9 years ago
MichuziLukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi
10 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
Ujumbe mwingine uliokuwa kwenye mabango hayo.Ujumbe mwingine ukinyesha kuwa toka Kijiji hicho kianzishwe mwaka 2008 na kupewa hati wananchi hao wamekuwa hawana haki na sehemu ya ardhi yao ambayo ipo ndani ya shamba la Muwekezaji huyo. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Skaungu muda mfupi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi kuzungumzia lengo la ziara yake katika Kijiji hicho, alisema ni muda sasa kumaliza mgogoro huo.
10 years ago
Habarileo30 Jul
Mgogoro machimboni Ulata wamalizwa
SERIKALI mkoani Iringa imemaliza mgogoro baina ya mwekezaji na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya dhahabu katika kijiji cha Ulata mkoani hapa.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10