Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro machimboni Ulata wamalizwa

SERIKALI mkoani Iringa imemaliza mgogoro baina ya mwekezaji na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya dhahabu katika kijiji cha Ulata mkoani hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU KWA MIAKA 15 BILA UTATUZI WAMALIZWA NA MH.LUKUVI.

Hatimaye mgogoro wa ardhi wa zaidi hekta 200 baina ya wananchi wa chasimba na uongozi wa kiwanda cha saruji cha Twiga umemalizwa na waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Mhe.Wiliam Lukuvi akitangaza kubadili matumizi ya ardhi hiyo kuwa ya makazi yao kutoka mikononi kiwanda kama eneo la kuchimba madini.

Waziri Lukuvi ambaye ameandika historia katika mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 alifuatana na uongozi wa kiwanda,manispaa Kinondoni,Tanesco,mbunge wa kawe idara ya maji,piolisi na...

 

10 years ago

Habarileo

Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji

WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Apigwa risasi machimboni

Mtu mmoja amejeruhiwa begani kwa risasi baada ya ya vurugu kutokea juzi kwenye machimbo ya mchanga eneo la Makongo Juu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miatano waokolewa machimboni S: Afrika

Inakadiriwa wachimbaji wapatao mia tano wameokolewa na magari ya zima moto kutoka chini ya mashimo ya madini nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

GPL

500 WAOKOLEWA MACHIMBONI AFRIKA KUSINI

Mchimbaji akiokolewa na wafanyakazi wa kitengo cha zimamoto. Inakadiriwa kuwa wachimbaji wapatao mia tano wameokolewa na magari ya zima moto kutoka machimboni baada ya kuwa wamebanwa chini ya mashimo yenye kina kirefu katika machimbo ya madini nchini Afrika Kusini. Moto mkubwa uliripuka mapema mwanzoni mwa wiki hii umbali wa zaidi ya kilomita mbili katika machimbo ya mgodi wa Kusasalethu Magharibi mwa mji wa Johannesburg.Mmiliki...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMA WA MADEREVA WA BASI WAMALIZWA NA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA

 Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Mh. FREMAN MBOWE amewasili leo katika stend kuu ya mabasi Ubungo  na kuzungumza na madereva ambao walikuwa wakiendea na mgomo wa kuwataka serikali iwasikilize shida zao.  Mh Mbowe ambaye aliwasili hapa majira ya saa nne kasoroo asubuhi alijikuta katika wakati mgumu baada ya wananchi kumshangilia kwa nguvu huku wengine wakifuta barabara ili gari yake ipite huku nyimbo zza ukawa zikiimbwa,jambo ambalo lilizua taharuki katika eneo hilo.Mh...

 

11 years ago

GPL

WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR

Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani