Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miatano waokolewa machimboni S: Afrika

Inakadiriwa wachimbaji wapatao mia tano wameokolewa na magari ya zima moto kutoka chini ya mashimo ya madini nchini Afrika Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

500 WAOKOLEWA MACHIMBONI AFRIKA KUSINI

Mchimbaji akiokolewa na wafanyakazi wa kitengo cha zimamoto. Inakadiriwa kuwa wachimbaji wapatao mia tano wameokolewa na magari ya zima moto kutoka machimboni baada ya kuwa wamebanwa chini ya mashimo yenye kina kirefu katika machimbo ya madini nchini Afrika Kusini. Moto mkubwa uliripuka mapema mwanzoni mwa wiki hii umbali wa zaidi ya kilomita mbili katika machimbo ya mgodi wa Kusasalethu Magharibi mwa mji wa Johannesburg.Mmiliki...

 

10 years ago

Mwananchi

Apigwa risasi machimboni

Mtu mmoja amejeruhiwa begani kwa risasi baada ya ya vurugu kutokea juzi kwenye machimbo ya mchanga eneo la Makongo Juu.

 

10 years ago

Habarileo

Mgogoro machimboni Ulata wamalizwa

SERIKALI mkoani Iringa imemaliza mgogoro baina ya mwekezaji na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya dhahabu katika kijiji cha Ulata mkoani hapa.

 

11 years ago

GPL

WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR

Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…

 

11 years ago

BBCSwahili

50 waokolewa kutoka Antarctic

Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto 70 waliofungwa waokolewa Cameroon

Polisi waliojihami Cameroon wameivamia nyumba moja na kuwaokoa watoto wapatao 70 waliokuwa wamefungwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

293 waokolewa nchini Nigeria

Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa watoto wa kike mia mbili na akina mama tisini na tatu kutoka katika kambi ya Boko

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe Bunge la Katiba ‘waokolewa’

Wakazi wa Dodoma wakiendelea na ujenzi wa mabanda ya mama na baba lishe na biashara nyingine, nje ya Bunge mjini humo jana. (Picha na Fadhili Akida).WAKATI wabunge wakisubiri nyongeza ya posho kwa madai maisha Dodoma ni ghali, huduma ya chakula cha bei nafuu imesogezwa karibu nao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani