293 waokolewa nchini Nigeria
Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa watoto wa kike mia mbili na akina mama tisini na tatu kutoka katika kambi ya Boko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Jeshi la Nigeria lawaokoa mabinti 293
Jeshi la Nigeria limewaokoa wasichana mia mbili na tisini na tatu katika kambi ya Boko Haram iliyoko kwenye msitu wa Sambisa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6qVaXg6RqBKPO3-3ZhQeb-sKroCBP6yITFMj1VQF893yXb16QqbWHcmBCsWpQ81jsbuTqnR*1Pa9daHkD5PfEV/Nigerianarmynaijaarena.com_2.jpg?width=650)
JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM
Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....
11 years ago
BBCSwahili04 May
Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan
Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.
10 years ago
Michuzi02 Jan
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) KUTUMIA BILIONI 293 KUANDIKISHA WAPIGA KURA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/2.jpg)
NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
50 waokolewa kutoka Antarctic
Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa
WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Wahamiaji 2000 waokolewa baharini
Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya
Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania