Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa

WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafukiwa na kifusi wakichimba vito

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Juma NdakiWAKAZI wawili wa kata ya Kigongoi wilayani Mkinga, wamekufa papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo walipokuwa wakichimba madini aina ya vito.

 

11 years ago

Habarileo

Wawili wafukiwa na kifusi na kufa

WA C H I M B A J I wawili wa kokoto, wamekufa katika eneo la Mlimani Kata ya Terati katika Jiji la Arusha, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakijaza kokoto kwenye lori aina ya Isuzu ambalo lilitoweka baada ya tukio.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu zaidi ya 2,500 wafukiwa na kifusi

Watu zaidi ya 2,500 wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na mmomonyoko wa ardhi Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo katika Jimbo la Badakhshan.

 

9 years ago

Habarileo

Wachimbaji wawili wadogo wafukiwa na kifusi

WACHIMBAJI wadogo wawili ambao majina yao hayajafahamika wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo bubu ya dhahabu yaliyopo eneo la Mnadani kata ya Sangambi, wilayani Chunya.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachimbaji wafukiwa kifusi, mmoja afa

Wachimbaji 11 wa dhahabu wameokolewa kwenye mashimo yaliyopo Nyangarata wilayani hapa, baada ya mashimo hayo kutitia mara mbili, huku mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika akiopolewa akiwa amekufa.

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking News: Wachimbaji wafukiwa na kifusi, Chunya-Mbeya

mgodini (2)Hali ya taharuki kwenye eneo la tukiomgodini (1)Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.

Taarifa zilizotufikia hivi punde:

Wachimbaji kadhaa wa migodi (idadi yao haijafahamika) hivi punde wamefukiwa na kifusi cha udongo katika Kijiji cha Sangambi kilichopo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuwaokoa bado zinaendelea muda huu.

Endelea kufuatilia habari zetu ili kufahamu kitakachojiri kuhusu tukio hilo.

 

9 years ago

Mtanzania

Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41

Pg 1Pg 1BPg 1*Waliishi kwa kula mende, mizizi  

* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini

Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar

WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,  wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.

Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.

Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

GPL

NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO

Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...

 

11 years ago

BBCSwahili

50 waokolewa kutoka Antarctic

Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani