Watu zaidi ya 2,500 wafukiwa na kifusi
Watu zaidi ya 2,500 wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na mmomonyoko wa ardhi Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo katika Jimbo la Badakhshan.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jan
Wawili wafukiwa na kifusi na kufa
WA C H I M B A J I wawili wa kokoto, wamekufa katika eneo la Mlimani Kata ya Terati katika Jiji la Arusha, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakijaza kokoto kwenye lori aina ya Isuzu ambalo lilitoweka baada ya tukio.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa
WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.
10 years ago
Habarileo12 Feb
Wafukiwa na kifusi wakichimba vito
WAKAZI wawili wa kata ya Kigongoi wilayani Mkinga, wamekufa papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo walipokuwa wakichimba madini aina ya vito.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Wachimbaji wawili wadogo wafukiwa na kifusi
WACHIMBAJI wadogo wawili ambao majina yao hayajafahamika wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo bubu ya dhahabu yaliyopo eneo la Mnadani kata ya Sangambi, wilayani Chunya.
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Wachimbaji wafukiwa kifusi, mmoja afa
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Breaking News: Wachimbaji wafukiwa na kifusi, Chunya-Mbeya
Hali ya taharuki kwenye eneo la tukio
Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.
Taarifa zilizotufikia hivi punde:
Wachimbaji kadhaa wa migodi (idadi yao haijafahamika) hivi punde wamefukiwa na kifusi cha udongo katika Kijiji cha Sangambi kilichopo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuwaokoa bado zinaendelea muda huu.
Endelea kufuatilia habari zetu ili kufahamu kitakachojiri kuhusu tukio hilo.
9 years ago
Michuzi16 Sep
ZAIDI YA WATU 500 WANATARAJIWA KUSHIRIKI KATIKA BONANZA LA KUSHEREKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA KITUO CHA MAZOEZI CHA HOME GYM
Andrew Mangomango ni mkurugenzi wa kityuo hicho ametanabaisha kuwa maandalizi yote yamekamalika na kusema kuwa miongoni mwa watu watakaoshiriki katika bonanza hilo ni pamoja na vikundi vya Joging vya jijini DSM, vutio vya gym na yeyote atakayehitaji...
11 years ago
Habarileo14 Dec
Kifusi chaua watu sita
WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.