TUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR
![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxd5Sbqk6PWuhIsdZLHTm3MRLxCRWDyPmmmJ*0fxfkf9LptAjSrj0RI99n6yUY5OIsuOaY0zYelye1qDNZ2XQkLT/pombe.jpg?width=650)
Rais mchapa kazi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli. TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa tumempata rais mchapa kazi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli aliyeapishwa Alhamisi iliyopita jijini Dar es Salaam.Lakini wakati tunafurahia tukio hilo, wengi hatuna furaha kutokana na rais huyo kubeba mgogoro mzito wa kisiasa visiwani Zanzibar ambao umedumu kwa miaka 50 sasa tangu tuungane mwaka 1964. Maalim Seif Sharif Hamadi. Wazanzibari wamekuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NYMbURyVt1I/VX2Of2Lo0gI/AAAAAAABQK8/vIZWIlPRU94/s72-c/lukuvi1.jpg)
MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU KWA MIAKA 15 BILA UTATUZI WAMALIZWA NA MH.LUKUVI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-NYMbURyVt1I/VX2Of2Lo0gI/AAAAAAABQK8/vIZWIlPRU94/s640/lukuvi1.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Nape: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
9 years ago
Michuzi24 Nov
Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/12272714_10156211149995247_414495856_n.jpg?oh=55e5abf7e89e1b9adf171550ef031ba9&oe=56551177)
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s72-c/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
Lukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s640/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ByZFa29UNMY/VoyCQD_AzrI/AAAAAAAIQt0/Rwv2vS91WcU/s640/7b4c40f9-891c-4581-9f79-ef45514af89f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GLEr8u4uYAM/VoyCPnC0c6I/AAAAAAAIQtk/hvJ8x6ayLg4/s640/e2f3b1da-2074-4b35-bb8c-2c4579a3e7d5.jpg)