Nape: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amesema Watanzania wanapaswa kumuombea Rais John Magufuli ili aendelee kutumbua majipu kwani nchi ilifika pagumu baada ya wezi kuonekana wajanja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxd5Sbqk6PWuhIsdZLHTm3MRLxCRWDyPmmmJ*0fxfkf9LptAjSrj0RI99n6yUY5OIsuOaY0zYelye1qDNZ2XQkLT/pombe.jpg?width=650)
TUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi
KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CUF yaiweka Ukawa pagumu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZyZ6ZTLTYN9iSEnpPYjjHcuI--oEiao8p7mQAv6cMZgQh4s8dOudDhGR4X8-RCgbTBfjbcRBkKV6DiHLg8W*Tjh/p.gif)
Pluijm: Tanga pagumu lakini tutakomaa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5D8Jlb4rl0K23iAvr1fJHSRbsKaW6Sv9KqFIVXvBWuCrviMsl71JrN0CaOKNwg0x5MeBCm5HeUAueub*B9zx8Co/sara.jpg)
TUMUOMBEE SARA MVUNGI!
9 years ago
Habarileo11 Dec
Magufuli amkabidhi Nape wanamichezo, wasanii
RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo. Wakati wa kampeni zake za urais, Rais Magufuli mara kadhaa alikaririwa akisema atakuwa mstari wa mbele kuwasaidia wanamichezo na wasanii katika masuala mbalimbali wakati wa utawala wake.
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Magufuli amteua Nape Wizara ya Michezo
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
RAIS wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, ametangaza Baraza la Mawaziri na kumteua Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.
Awali kabla ya uteuzi wa jana wa Serikali ya Awamu ya Tano, wizara hiyo ilikuwa chini ya mbunge wa kuteuliwa Dk. Fenella Mukangara na Naibu Waziri wake Juma Nkamia ambaye ni Mbunge wa Chemba.
Akitangaza baraza hilo jana jijini Dar es Salaam, Rais...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Nape aomba Watanzania kumuombea Magufuli
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Rais John Magufuli, kwani kazi ya kutumbua majipu ambayo ameianza ni kazi ngumu na yenye vikwazo.
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWANAMITINDO NGURI WAKITANZANIA TUMUOMBEE APONE HARAKA
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/11326136_892794314119021_1618904074_n.jpg)
Mwanamitindo na Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese alipoteza fahamu mara mbili katikati ya jiji la New York nchini Marekani.Kupitia Instagram, Millen amesema ni msamaria mwema ndiye aliyemsaidia.“Something happened this afternoon right after I posted my last video,which reminded me a very important thing we always forget,” aliandika.“Every one of us will go and it’s just a matter of time ,be ready all the times ,I passed out twice on 42 street in New York today ,and strangers...