Pluijm: Tanga pagumu lakini tutakomaa
![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZyZ6ZTLTYN9iSEnpPYjjHcuI--oEiao8p7mQAv6cMZgQh4s8dOudDhGR4X8-RCgbTBfjbcRBkKV6DiHLg8W*Tjh/p.gif)
Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewatoa wasiwasi mashabiki wa timu yake na kusema kuwa ana nafasi ya kufanya vizuri katika mchezo wa leo dhidi ya Mgambo, ingawa amekiri utakuwa mgumu kutokana na hali ya hewa na mazingira ya uwanja. Yanga ambayo imeweka kambi katika Hoteli ya Capital City, leo inatarajiwa kuwa mgeni wa Mgambo JKT kwenye Uwanja wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)
Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CUF yaiweka Ukawa pagumu
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Nape: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1_XFxoFWUo/U_jDeuME7QI/AAAAAAAGB0I/8CC0pikm1Ok/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
MichuziTANGA CEMENT (PLC) WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID -19 TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kusaidia mapambano ya virusi vya Covid 19 kwa ajili ya Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na Jeshi la Polisi Mkoa huo kutoka kwa Mtendaji Mkazi wa Kiwanda cha Tanga Saruji cha Cement PLC Mhandisi Benedict Lema kushoto wanaoshuhudia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari kulia na kushoto Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Blasius Chatanda
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa...
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...