Nape aomba Watanzania kumuombea Magufuli
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Rais John Magufuli, kwani kazi ya kutumbua majipu ambayo ameianza ni kazi ngumu na yenye vikwazo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Waziri Nape Nnauye awataka Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dk John Pombe Magufuli, kazi ya kutumbua majipu ni ngumu na ina vikwazo vingi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili za kwaya ya Wakorintho wa Pili kwenye tamasha la Krismas lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana, ambapo mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini Rebecca Malope amefanya onesho kubwa lililovuta hisia za mashabiki wengi waliohudhuria katika tamasha hili akishirikiana na waimbaji mbalimbali...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Watanzania wahimizwa kumuombea Magufuli
MFANYABIASHARA na kada wa CCM wilayani hapa, Peter Zakaria amewaomba Watanzania kuzidi kumwombea na kumuunga mkono Rais John Magufuli katika juhudi zake za kupambana na ufisadi, huku akiwataka wafanyabiashara kuonesha uzalendo kwa kulipa kodi kwa wakati.
Zakaria ambaye katika vyombo vyake vya usafirishaji amebandika mabango yenye kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” alisema nia ya Rais Magufuli ni njema kuwaletea wananchi maendeleo na kurejesha imani ya Watanzania kwa CCM kwamba bado chama hicho...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BUQRic4a_3s/VoBPDtylgCI/AAAAAAAIO9Q/d1NSr4Z9_VQ/s72-c/5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Ibaada ya Kumuombea Rais Magufuli yafanyika London, Uingereza
Picha maalumu ya rais Magufuli (chini) ni sehemu ya wanakwaya.
Askofu mkuu wa kanisa la CCBC, Dk. Sarpong kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada hiyo.
Mgeni rasmi Naibu Balozi , Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani kwa waandaaji na wahudhuriaji.
Baadhi ya Watanzania, wahamasishaji wakiwa na bendela ya Tanzania.
Sehemu ya wahudhuriaji.
HAPA KAZI TU! Waafrika waishio jijini London, Uingereza, Desemba, 28 mwaka huu walifanya maombi maalumu ya kumuombea Rais wa Awamu ya Tano wa...
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Wito wa kumuombea Magufuli, amani ya nchi vyatawala mahubiri Krismasi
9 years ago
StarTV29 Dec
Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.
Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!
Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s72-c/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s400/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.
Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
News On: Dkt. John Pombe Magufuli arudisha fomu, awaomba waendelee kumuombea
Dk Magufuli pichani, ambapo mapema majira ya saa tano ya leo Agosti 21.2015, amerejesha fomu za kugombea Urais katika tume ya uchaguzi NEC. (Picha ya Maktaba).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo Agosti 21, amerejesha fomu ya Kuomba kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM katika tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC’, zilizopo Ilala,...