Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wito wa kumuombea Magufuli, amani ya nchi vyatawala mahubiri Krismasi

Kuombea kudumishwa amani, kumwombea Rais John Magufuli katika kutimiza majukumu yake, pamoja na utatuzi wa suala la kisiasa Zanzibar ni mambo ambayo yalitawala mahubiri ya mkesha na ibada za sikukuu ya Krismasi katika maeneo mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020....

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !

 

x12

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015. Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi...

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Habarileo

Amani yatawala Maulid, Krismasi

WAKAZI wa maeneo mbalimbali hapa nchini wamesherehekea sikukuu ya Maulid na Krismasi katika hali ya amani, bila kuwepo na matukio makubwa ya uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kumuombea Magufuli

MFANYABIASHARA na kada wa CCM wilayani hapa, Peter Zakaria amewaomba Watanzania kuzidi kumwombea na kumuunga mkono Rais John Magufuli katika juhudi zake za kupambana na ufisadi, huku akiwataka wafanyabiashara kuonesha uzalendo kwa kulipa kodi kwa wakati.

Zakaria ambaye katika vyombo vyake vya usafirishaji amebandika mabango yenye kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” alisema nia ya Rais Magufuli ni njema kuwaletea wananchi maendeleo na kurejesha imani ya Watanzania kwa CCM kwamba bado chama hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

Krismasi ilete amani, iongeze matumaini

Leo ni sikukuu ya Krismasi, siku maalumu ambayo waumini wa Kikristo nchini wanaungana na wenzao kote duniani katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, miaka zaidi ya 2000 iliyopita. Tunachukua nafasi hii kuwatakia wote sikukuu njema tukitambua ukubwa wake kiimani.

 

9 years ago

Habarileo

Nape aomba Watanzania kumuombea Magufuli

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Rais John Magufuli, kwani kazi ya kutumbua majipu ambayo ameianza ni kazi ngumu na yenye vikwazo.

 

9 years ago

Global Publishers

Ibaada ya Kumuombea Rais Magufuli yafanyika London, Uingereza

Magufuli aombewa london (1)Picha maalumu ya rais Magufuli (chini) ni sehemu ya wanakwaya.
Magufuli aombewa london (2)Askofu mkuu wa kanisa la CCBC, Dk. Sarpong kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada hiyo.
Magufuli aombewa london (3)Mgeni rasmi Naibu Balozi , Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani kwa waandaaji na wahudhuriaji.Magufuli aombewa london (4)Baadhi ya Watanzania, wahamasishaji wakiwa na bendela ya Tanzania.Magufuli aombewa london (8)Magufuli aombewa london (7)Sehemu ya wahudhuriaji.

HAPA KAZI TU! Waafrika waishio jijini London, Uingereza, Desemba,  28 mwaka huu walifanya maombi maalumu ya kumuombea Rais wa Awamu ya Tano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani