Wananchi kurejeshewa mashamba ACT wakiingia madarakani
Katika harakati za kampeni zinazoendelea kote nchini za kutafuta Rais wabunge pamoja na madiwani vyama mbalimbali vya kiasiasa vinavyotafuta uongozi kupita kwa wagombea wake vimezidi kutoa sera zao kuomba kura kwa wananchi ambapo chama cha ACT wazalendo kimesema kitarejesha ardhi kwa wananchi.
Mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo Anna Mgwila ameahidi kuwa endapo atachaguliwa atahakikisha anayarudisha kwa wananchi mashamba yote ambayo Serikali iliwapa wawekezaji na kuwasababishia...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Mwekezaji Kapunga Rice anatukodisha mashamba-Wananchi
10 years ago
GPL![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1738.jpg?width=650)
KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE
9 years ago
Michuzi10 Sep
EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
ACT: CCM imepuuza wananchi
CHAMA cha Alliance for Change and Transparance (ACT-Tanzania), kimeeleza kuwa kiburi cha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na dharau kwa Watanzania ndivyo vinawafanya wasione haja ya kujadili rasimu ya...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Walimu wa leseni kurejeshewa makato
WALIMU wa leseni walioajiriwa na Serikali na kupewa mafunzo ya awali na ya ualimu ya muda wa mwezi mmoja, waliokatwa mshahara wao kwa ajili ya kuchangia Chama cha Walimu Tanzania (CWT), watarudishiwa makato hayo.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Toyota Dar nayo kurejeshewa magari