Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE

Mheshimiwa Stephen Hilary Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’. Na Abdallah Juma, Tanga Korogwe ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Upande wa Kaskazini, Korogwe imepakana na Wilaya ya Lushoto, Mashariki kuna Wilaya ya Muheza, Kusini kuna wilaya ya Handeni na Magharibi kuna Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani ya wilaya hiyo, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, likiwemo Korogwe Vijijini linaloongozwa na Mheshimiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Upimaji mashamba ya mkonge wakamilika

 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey ZambiSERIKALI imekamilisha awamu ya kwanza ya upimaji mashamba ya wakulima wadogo wa mkonge ili kuwapatia hati miliki zitakazowezesha kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa ajili ya kuendeleza zao la mkonge.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yasisitiza kufutwa hati mashamba ya mkonge

SERIKALI imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi. Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, aliliambia Bunge jana kuwa tayari baadhi ya mashamba yamepelekwa Ofisi ya Rais kwa ajili ya kufutiwa hati miliki.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AMALIZA ZIARA KOROGWE VIJIJINI




 Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishona nguo kwenye ofisi ya Veronica Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni,kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Ngonyani ,Katibu Mkuu alikuwa kwenye ziara ya siku moja katika wilaya ya Korogwe Vijijini ambapo licha ya kukagua miradi mbali mbali ya ujenzi wa maabara na ofisi za CCM alipata nafasi ya kuwahutubia wananchi na kuwasikiliza  .

  Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuelekeza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua miradi mbalimbali Korogwe vijijini

1

 Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishona nguo kwenye ofisi ya Veronica Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni,kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Ngonyani ,Katibu Mkuu alikuwa kwenye ziara ya siku moja katika wilaya ya Korogwe Vijijini ambapo licha ya kukagua miradi mbali mbali ya ujenzi wa maabara na ofisi za CCM alipata nafasi ya kuwahutubia wananchi na kuwasikiliza  .

  Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuelekeza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA ALBINO TANZANIA AJITOSA UBUNGE KOROGWE VIJIJINI, AAHIDI KULETA MAENDELEO

Mwenyekiti wa Chamacha Albino Tanzania (TAS), Bw. Ernest Kimaya (kushoto) akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda wakati wa maadhimisho ya Siku ya Walemavu wa Ngozi Tanzania kwenye viwanja vya Garden Mjini Iringa Mei 4, 2010. 

Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania (Albino) ndugu Ernest Kimaya akimfariji Mama Maria Chambanenge wakati akipatiwa matibabu katika hospitali kuu ya Mkoa Rukwa kufuatia kukatwa mkono wake wa kushoto na watu...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba

Igunga/Babati. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka viongozi wa Mkoa wa Manyara, kuwagawia wananchi mashamba yaliyorudishwa serikalini baada ya wawezaji kushindwa kuyaendeleza kabla hajaingia madarakani.

 

11 years ago

Habarileo

JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi

RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi

>Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imeamua kufuta miliki ya mashamba yote makubwa yasiyoendelezwa na taratibu mpya zinafanyika ili kuyamilikisha kwa wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani