KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE
![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1738.jpg?width=650)
Mheshimiwa Stephen Hilary Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’. Na Abdallah Juma, Tanga Korogwe ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Upande wa Kaskazini, Korogwe imepakana na Wilaya ya Lushoto, Mashariki kuna Wilaya ya Muheza, Kusini kuna wilaya ya Handeni na Magharibi kuna Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani ya wilaya hiyo, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, likiwemo Korogwe Vijijini linaloongozwa na Mheshimiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 May
Upimaji mashamba ya mkonge wakamilika
SERIKALI imekamilisha awamu ya kwanza ya upimaji mashamba ya wakulima wadogo wa mkonge ili kuwapatia hati miliki zitakazowezesha kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa ajili ya kuendeleza zao la mkonge.
11 years ago
Habarileo17 Jun
Serikali yasisitiza kufutwa hati mashamba ya mkonge
SERIKALI imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi. Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, aliliambia Bunge jana kuwa tayari baadhi ya mashamba yamepelekwa Ofisi ya Rais kwa ajili ya kufutiwa hati miliki.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA KOROGWE VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bluKf8aLx5g/VCW3B15vOCI/AAAAAAAARZM/ydxBplExC8U/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Kinana akagua miradi mbalimbali Korogwe vijijini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishona nguo kwenye ofisi ya Veronica Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni,kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Ngonyani ,Katibu Mkuu alikuwa kwenye ziara ya siku moja katika wilaya ya Korogwe Vijijini ambapo licha ya kukagua miradi mbali mbali ya ujenzi wa maabara na ofisi za CCM alipata nafasi ya kuwahutubia wananchi na kuwasikiliza .
![](http://1.bp.blogspot.com/-bluKf8aLx5g/VCW3B15vOCI/AAAAAAAARZM/ydxBplExC8U/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuelekeza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA ALBINO TANZANIA AJITOSA UBUNGE KOROGWE VIJIJINI, AAHIDI KULETA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-D726agHEX2I/Vaobt2laofI/AAAAAAAAIRc/BitLNJox8Dw/s640/Ernest%2BKimaya%2Bna%2BMaria%2BChambanenge.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi