WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA KUTETEA JIMBO LAKE
Na Felix Mwagara, Nachingwea.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza rasmi kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na viongozi wa CCM wa Wilaya na Kata ya Mtua, wilayani Nachingwea katika sherehe ya kuwapokea viongozi na wanachama wapya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliojiunga na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA KATIKA JIMBO LAKE LA UCHAGUZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xfXtU-ri4H4/VUHSULUY1UI/AAAAAAAHUMI/-oKrMhMqVjc/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Wassira atangaza kutetea ubunge Bunda
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Asbel Kiprop kutetea taji lake Beijing
10 years ago
Habarileo27 Oct
Chikawe atangaza kuwania tena ubunge
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza kuwa atagombea tena ubunge kupitia CCM katika uchaguzi mkuu wa mwakani, huku akiahidi kuibuka na ushindi.
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Nyalandu atangazwa kutetea nafasi yake ya ubunge jimbo la Singida kaskazini
Mbunge mteule wa jimbo la Singida kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu (katikati) akiwa amepumzika akisubiri kutangazwa kwa matokeo ya nafasi ya ubunge leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Singida vijijini, Naruba Hanje na kulia ni Shyrose Matembe anayewania nafasi ya ubunge viti maalum mkoa wa Singida.