Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asbel Kiprop kutetea taji lake Beijing

Asbel Kiprop kutoka Kenya kutetea taji lake mjini Beijing baada kufuzu kwa fainali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Asbel Kiprop afuzu kwa fainali-Beijing

Bingwa wa dunia wa mbio za 1500m, Asbel Kiprop na Wakenya wengine wanne wamefuzu kwa fainali ya mbizo hizo

 

9 years ago

Habarileo

Yanga waanza kutetea taji

MABINGWA watetezi kwenye Ligi Kuu Bara, Yanga, leo wanaanza kampeni za kutetea taji hilo kwa kukwaana na Coastal Union kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA KUTETEA JIMBO LAKE

PIX 1Na Felix Mwagara, Nachingwea.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza rasmi kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na viongozi wa CCM wa Wilaya na Kata ya Mtua, wilayani Nachingwea katika sherehe ya kuwapokea viongozi na wanachama wapya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliojiunga na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mrembo akataa kurejesha taji lake

Mshindi wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang'anywa taji hilo wiki iliopita ,amekataa kurudisha taji hilo kwa waandalizi

 

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:ManCity itatetea taji lake

Kocha wa Man City Manuel Pellegrini amesema kuwa anamatumaini timu hiyo itatetea taji lake msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Louis Hamilton atetea taji lake vyema

Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes ameibuka bingwa kwa mara nyingine katika shindano la Grand Prix lililofanyika huko China.

 

10 years ago

Michuzi

RACHAEL CLAVERY ASHINDA TAJI LA MISS LAKE ZONE 2014 USUIKU HUU MJINI BUKOBA

Mshindi wa Miss Lake Zone 2014 Rachael Clavery (katikati) akila pozi katika picha ya ukumbusho na mshindi wa pili Mary Emanuel( kulia) na Mshindi wa tatu Nikole Sarakikya ( kushoto). Rachael amejinyakulia zawadi nono ya Gari la millioni 10 katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza usiku huu. Shindano hilo lilikuwa na Walimbwende 18 wote wakichuana vikali na kila mmoja akitaka ashinde kabla ya Rachael Clavery kuwafunika wenzake na kuibuka na ushindi. Gari aliloshinda Miss Lake Zone 2014...

 

9 years ago

Vijimambo

AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO

Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza ProductionMiss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha KamaraAeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...

 

11 years ago

TheCitizen

Kenyans Kiprop and Obiri shine in Diamond League

 Kenya’s former Olympic and double world 1500 metres champion Asbel Kiprop produced one of the finest runs of his career here in the opening 2014 International Association of Athletics Federations (IAAF) Diamond League meeting on a night of outstanding performances and vibrant support which will have done little harm to lift the city’s hopes of hosting the 2019 World Championships.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani