Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asbel Kiprop afuzu kwa fainali-Beijing

Bingwa wa dunia wa mbio za 1500m, Asbel Kiprop na Wakenya wengine wanne wamefuzu kwa fainali ya mbizo hizo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Asbel Kiprop kutetea taji lake Beijing

Asbel Kiprop kutoka Kenya kutetea taji lake mjini Beijing baada kufuzu kwa fainali

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams afuzu nusu fainali

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.

 

9 years ago

BBCSwahili

Farah afuzu fainali za mbio za 5000m

Mo Farah karibu atupwe nje katika mzunguko wa mwisho wa mbio za 5000m lakini amefuzu kwa fainali Jumamosi za mabingwa Beijing.

 

11 years ago

TheCitizen

Kenyans Kiprop and Obiri shine in Diamond League

 Kenya’s former Olympic and double world 1500 metres champion Asbel Kiprop produced one of the finest runs of his career here in the opening 2014 International Association of Athletics Federations (IAAF) Diamond League meeting on a night of outstanding performances and vibrant support which will have done little harm to lift the city’s hopes of hosting the 2019 World Championships.

 

9 years ago

Mtanzania

Mniger Yanga afuzu vipimo

Pg 32 ANA HUSSEIN OMAR, DAR ES SALAAM

KIUNGO mpya wa pembeni wa Yanga, Issoufou Boubacar Garba, amefuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa jana katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es  Salaam kabla ya kupewa mkataba wa kuitumikia klabu hiyo.

Jopo la madaktari lililoongozwa na Dk. Nassor Matuzya na mtaalamu wa viungo wa Hospitali ya Temeke, David Tesha, walisimamia kikamilifu zoezi la upimaji wa afya ya kiungo huyo ambaye amekuja nchini kusaka ulaji.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Matuzya alisema Garba...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maisha yamebadilika kwa wakazi wa Beijing kufuatia virusi vya Corona

Kwa wengi wa Wachina bilioni 1.4 matembezi, kwa kiasi Fulani, yamezuiwa katika juhudi za kupunguza kusambaa virusi vinavyoua vya Corona. Hii ndio hali katika mji wa Beijing…

 

11 years ago

Michuzi

brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Mtanange ulikuwa  mgumu. Brazil hawakuvutia kabisa. Lakini ilitosha kuwapeleka robo fainali za Kombe la Dunia,  ingawa kwa mbinde,  baada ya kuitoa Chile kwa njia ya penati katika mchezo wako wa raundi ya 16  kwenye uwanja wa Mineirao mjini Horizonte.


Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3

Wachezaji wa Timu ya Kagondo Fc wakimpongeza mchezaji wao aliyewapa ushindi wa kwenda hatua ya Nusu fainali Abdallatifu Khamis juu kwa juu.
Kufungwa kubaya!!! Wachezaji wa Timu ya Ijuganyondo wakitoka Uwanjani wakiwa hawana hamu. Kwa picha zaidi na Faustine Ruta BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani