Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mniger Yanga afuzu vipimo

Pg 32 ANA HUSSEIN OMAR, DAR ES SALAAM

KIUNGO mpya wa pembeni wa Yanga, Issoufou Boubacar Garba, amefuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa jana katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es  Salaam kabla ya kupewa mkataba wa kuitumikia klabu hiyo.

Jopo la madaktari lililoongozwa na Dk. Nassor Matuzya na mtaalamu wa viungo wa Hospitali ya Temeke, David Tesha, walisimamia kikamilifu zoezi la upimaji wa afya ya kiungo huyo ambaye amekuja nchini kusaka ulaji.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Matuzya alisema Garba...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm matumaini kibao kwa kiungo Mniger

KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm amesema ana imani na mchezaji mpya wa Niger Issoufou Garba kuwa atafanya vyema katika kikosi hicho kutokana na uwezo aliouonesha kwenye majaribio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams afuzu nusu fainali

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.

 

9 years ago

BBCSwahili

Farah afuzu fainali za mbio za 5000m

Mo Farah karibu atupwe nje katika mzunguko wa mwisho wa mbio za 5000m lakini amefuzu kwa fainali Jumamosi za mabingwa Beijing.

 

9 years ago

BBCSwahili

Asbel Kiprop afuzu kwa fainali-Beijing

Bingwa wa dunia wa mbio za 1500m, Asbel Kiprop na Wakenya wengine wanne wamefuzu kwa fainali ya mbizo hizo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaume wakimbia vipimo

WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya  Mpanda mkoani  Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya  kushindwa  kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vipimo vipya vya Malaria TZ

Tanzania kutumia Kipimo kipya cha kugundua vimelea vya Malaria kwa haraka kijulikanacho kama MRDT

 

11 years ago

Mwananchi

Vipimo homa ya dengue vyaadimika

>Taasisi ya Afya ya Ifakara kwa kushirikiana na ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa, wameamua kuanza kuchukua sampuli za damu za wagonjwa wanaohisiwa kuwa na maambukizi ya homa ya dengue na kwenda kuzifanyia vipimo katika ofisi ya Mkemia Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani