Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrembo akataa kurejesha taji lake

Mshindi wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang'anywa taji hilo wiki iliopita ,amekataa kurudisha taji hilo kwa waandalizi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa UEFA akataa kurejesha 'zawadi'.

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini amesisitiza kuwa hatorejesha saa aliopewa.

 

9 years ago

Habarileo

Mrembo wa Tanzania afuata taji la dunia

MREMBO wa Tanzania wa mwaka 2014 (Miss Tanzania), Lilian Kamazima anatarajiwa kuondoka nchini leo kwenda Sanya, China kushiriki mashindano ya dunia (Miss World), huku akiahidi kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma

Mshindi wa mashindano ya taji la Miss Asia Pacific World, amevuliwa taji lake akisemekana ni mjeuri, hana hadhi na hastaili taji hilo.

 

11 years ago

Bongo5

Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014

Mrembo aliyezaliwa Ethiopia, Meron Wudneh ameshinda taji la Miss Africa USA 2014. Meron, aliyewashinda warembo wengine 20, akiwemo wa Tanzania, ni mrembo wa kwanza kutoka nchi hiyo kushinda tangu lianzishwe miaka tisa iliyopia. Mwaka jana taji hilo lilienda kwa Kathy Onmu kutoka Nigeria.

 

10 years ago

Mwananchi

Mrembo wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World 2014

Mashindano ya urembo ya dunia yamemalizika jana huku mrembo kutoka Afrika Kusini, Rolene Strauss akiibuka Miss World 2014 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa ExCeL London jijini London, England.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..

December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]

The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais akataa jina lake kutumiwa

Rais wa Korea kazkazini awataka wananchi wake kutotumia jina lake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:ManCity itatetea taji lake

Kocha wa Man City Manuel Pellegrini amesema kuwa anamatumaini timu hiyo itatetea taji lake msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Asbel Kiprop kutetea taji lake Beijing

Asbel Kiprop kutoka Kenya kutetea taji lake mjini Beijing baada kufuzu kwa fainali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani