Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma

Mshindi wa mashindano ya taji la Miss Asia Pacific World, amevuliwa taji lake akisemekana ni mjeuri, hana hadhi na hastaili taji hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather apokonywa taji alilomshinda Pacquiao

Bondia Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumtwanga Manny Pacquiao

 

10 years ago

BBCSwahili

Mrembo akataa kurejesha taji lake

Mshindi wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang'anywa taji hilo wiki iliopita ,amekataa kurudisha taji hilo kwa waandalizi

 

9 years ago

Habarileo

Mrembo wa Tanzania afuata taji la dunia

MREMBO wa Tanzania wa mwaka 2014 (Miss Tanzania), Lilian Kamazima anatarajiwa kuondoka nchini leo kwenda Sanya, China kushiriki mashindano ya dunia (Miss World), huku akiahidi kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.

 

11 years ago

Bongo5

Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014

Mrembo aliyezaliwa Ethiopia, Meron Wudneh ameshinda taji la Miss Africa USA 2014. Meron, aliyewashinda warembo wengine 20, akiwemo wa Tanzania, ni mrembo wa kwanza kutoka nchi hiyo kushinda tangu lianzishwe miaka tisa iliyopia. Mwaka jana taji hilo lilienda kwa Kathy Onmu kutoka Nigeria.

 

10 years ago

Mwananchi

Mrembo wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World 2014

Mashindano ya urembo ya dunia yamemalizika jana huku mrembo kutoka Afrika Kusini, Rolene Strauss akiibuka Miss World 2014 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa ExCeL London jijini London, England.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..

December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]

The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kupambana na ujeuri kwa mwanao

Je, mtoto wako ametimiza umri wa miaka 15? Je, ana tabia ya ujeuri? Mara nyingi wazazi huamini kuwa mtoto anapokuwa kwenye umri huu tabia ya ujeuri ni sehemu ya makuzi yake. Lakini hili si kweli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake

Mwanariadha wa Ufaransa, alimaliza wa kwanza katika mbio za mita 3,000 lakini akavua shati lake

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Prezzo amweka wazi mrembo wake mpya

Baada ya drama kutoka kwa Diva, Huddah Monroe na Chagga Barbie, Prezzo ameamua kutulia na msichana asiye na umaarufu wowote. Mrembo mpya wa Prezzo Rapper huyo kutoka Kenya ameshare picha ya mrembo wake mpya kwenye Instagram na kuandika: “My 1st & only #WCW #Rapcellency #TrulyUnruly.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani