Jinsi ya kupambana na ujeuri kwa mwanao
Je, mtoto wako ametimiza umri wa miaka 15? Je, ana tabia ya ujeuri? Mara nyingi wazazi huamini kuwa mtoto anapokuwa kwenye umri huu tabia ya ujeuri ni sehemu ya makuzi yake. Lakini hili si kweli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Jinsi ya kumsaidia mwanao apende kusoma
Kumfundisha mwanao kusoma ni jambo muhimu sana katika maisha yake. Pamoja na ukweli kuwa kila mtoto ni wa kipekee, kuna mwongozo wa jumla kwa watoto wote, unaowasaidia kusoma.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma
Mshindi wa mashindano ya taji la Miss Asia Pacific World, amevuliwa taji lake akisemekana ni mjeuri, hana hadhi na hastaili taji hilo.
10 years ago
Michuzi19 Jun
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona
Rais wa Rwanda na serikali yake aungana na wazo la rais wa Kenya na Malawi kutaka mishahara yao kukatwa ikiwa ni jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa corona.
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
'Homework' tele ni ugonjwa kwa mwanao.
Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Oviedo, nchini Hispania ,umegundua masomo ya nyumbani yakizidi saa moja,ufanisi hushuka
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O_y3hvOqBGA/VYO5ZMrZosI/AAAAAAAAEvQ/gPU-cvTTJq0/s72-c/kitambi.jpg)
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O_y3hvOqBGA/VYO5ZMrZosI/AAAAAAAAEvQ/gPU-cvTTJq0/s320/kitambi.jpg)
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlM4cH3vfMtaZMeHTz6NwxTwHBzI7o1pcck4OxpKtjBbOaBNLliD2g863oW2GAKeGl9RWztKAdfZ*f6f*jMs8gc/AfricanAmericanfamily.jpg?width=650)
WEKEZA ELIMU, TABIA NJEMA NA KUJIAMINI KWA MWANAO!
Daima Mungu ni mwema na namshukuru kwa kunikutanisha nanyi wasomaji wangu ambao kimsingi ndio mnaonipa mwanga wa kitu gani cha kuandika kutokana na maswali yenu ya msingi juu ya mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku. Mpendwa msomaji wangu, nadhani unafahamu kwamba wengi wetu hasa wale ambao wako katika maisha ya ndoa wanatarajia kitu kimoja ambacho kinaweza kuongeza furaha na amani, nacho si kingine bali ni mtoto....
10 years ago
Vijimambo11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA
![SAM_2509](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9-k5J5k6fm9jZTkuMpDrMhitlwBqEw_7Tpv94yj-R37as0YwVtKE2Cv376zcE5eCeFdx1PuN5OdL4Pf9Y4akzA2LAdr8f35CXyk_QtU9446J_Q4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2509.jpg)
![SAM_2498](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iFmxPrDRlg6bKxDo_mmRvhFvNMyonw6Z2OilMaPInkVnjjRupaGxhm8awC7a72tCFbRiea7S1lhvQtncqYkPyrXgxrfBjX46jXjoAcTwhulz8lE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2498.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania