Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEKEZA ELIMU, TABIA NJEMA NA KUJIAMINI KWA MWANAO!

Daima Mungu ni mwema na namshukuru kwa kunikutanisha nanyi wasomaji wangu ambao kimsingi ndio mnaonipa mwanga wa kitu gani cha kuandika kutokana na maswali yenu ya msingi juu ya mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku. Mpendwa msomaji wangu, nadhani unafahamu kwamba wengi wetu hasa wale ambao wako katika maisha ya ndoa wanatarajia kitu kimoja ambacho kinaweza kuongeza furaha na amani, nacho si kingine bali ni mtoto....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mjengee mwanao kujiamini

Je, mwanao amekuwa na woga katika kufanya mambo yake, au ana tatizo la kuwa na aibu kupita kiasi?

 

10 years ago

Michuzi

HESHIMA NA TABIA NJEMA HUJENGEKA KWENYE NYOYO ZA WATU- DR.SHEIN

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif, Waziri wa Habari,utamaduni, Utalii na Michezo Mh. Said Ali Mbarouk pamoja na washabiki wa Tamasha wakimshangiria Kiongozi wa Ngoma ya Utamaduni ya Lelemama akifanya vitu vyake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanibari.  Vazi lenye asili ya watu wa Kitumbatu walilokuwa wakilitumia wakati wakielekea mashambani huku mwana Mama anatembea akisuka ukili kuashiria ufundi wa utamaduni wa asili.  Muimbaji mahiri wa Visiwa vya Comoro al...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALIYA HEWA YAANZA KUTOA ELIMU YA MABADILIKO YA TABIA NCHI KWA SHULE ZA SEKONDARI MKOANI DODOMA

    Mkurugenzi wa Utafiti na matumizi ya Hali ya hewa kutoka Mamlaka ya hali ya  Hewa Nchini  Dkt, Ladislaus Chang'a, akifafanua jambo kwa wanafunzi wa shule maalumu ya Vipaji ya wasichana ya Msalato kuhusu kuhusu mabadiliko ya tabia Nchi.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog)
 Wanafunzi wa Shule maalumu ya vipaji ya wasichana ya Msalato mjini Dodoma wakifuatilia jambo kwa makini wakati Mkurugenzi wa Utafiti na matumizi ya hali ya hewa Nchini Dkt, Ladislaus Chang'a alipokuwa akitoa mada kuhusu...

 

11 years ago

Mwananchi

SAFU YA ELIMU&MALEZI: Mwandae mwanao ajitegemee kimaisha

>Katika jamii nyingi za Kiafrika uko mgawanyo wa kazi na majukumu mengine katika familia kati ya baba, mama, watoto wa kiume na watoto wa kike.

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

9 years ago

CCM Blog

NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake .
 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Annastazia Wambura akiwasalimu Viongozi, Wakuu wa Idara kwenye kikao cha kwanza ambapo aliwataka kuzingatia kazi na kuzifanya kwa ufanisi.
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na Wakurugenzi na Viongozi wa Idara mbali mbali walio chini ya Wizara yake .
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI

Na Ahmed Mahmoud ArushaViongozi wa mitaa,vijiji na kata fanyenikazi kwa kujiamini bila woga kwa kuwa utaratibu wa Serikali unaanzia ngazi hiyo ili muweze kutatua na kushughulika na shida za wananchi.
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Homework' tele ni ugonjwa kwa mwanao.

Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Oviedo, nchini Hispania ,umegundua masomo ya nyumbani yakizidi saa moja,ufanisi hushuka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani