Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjengee mwanao kujiamini

Je, mwanao amekuwa na woga katika kufanya mambo yake, au ana tatizo la kuwa na aibu kupita kiasi?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mjengee msingi wa maadili mema mwanao

Ulezi wa watoto ni jambo linalohitaji umakini mkubwa. Kimsingi akili ya mtoto ni kama karatasi nyeupe isiyo na maandishi. Hivyo kwake ni rahisi kunasa vitu vingi kwa wakati mmoja. Jambo hili linatakiwa kueleweka vizuri kwa wazazi na walezi wengi.

 

11 years ago

GPL

WEKEZA ELIMU, TABIA NJEMA NA KUJIAMINI KWA MWANAO!

Daima Mungu ni mwema na namshukuru kwa kunikutanisha nanyi wasomaji wangu ambao kimsingi ndio mnaonipa mwanga wa kitu gani cha kuandika kutokana na maswali yenu ya msingi juu ya mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku. Mpendwa msomaji wangu, nadhani unafahamu kwamba wengi wetu hasa wale ambao wako katika maisha ya ndoa wanatarajia kitu kimoja ambacho kinaweza kuongeza furaha na amani, nacho si kingine bali ni mtoto....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi ataka wanawake kujiamini

MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makandarasi wanawake watakiwa kujiamini

IMG_1546

Mratibu wa mafunzo hayo mhandisi Rehema Myeya akimkaribisha mgeni rasmi Bi, Elizabeth Tagora ili kufungua mafunzo hayo.

IMG_1531

Mgeni rasmi wa mafunzo ya makandarasi wanawake Bi, Elizabeth Tagora akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo.

IMG_1528

Washiriki wa mafunzo ya makandarasi wanawake wakifuatilia mjadala wa mafunzo hayo mjini Kibaha mkoani Pwani.

IMG_1535

IMG_1548

Mgeni rasmi wa mafunzo ya makandarasi wanawake Bi. Elizabeth Tagora katika picha ya pamoja na washiriki  wa mafunzo hayo.

Makandarasi wanawake nchini...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Vijana watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu

VIJANA nchini wametakiwa kujiamini na kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi ya ujasiriamali na kutumia fursa zilizopo kupiga vita tatizo la ajira.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu ya kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema vijana wanapaswa kuonyesha juhudi na hamu ya kufanikiwa.

Programu hiyo ijulikanayo kama ‘Kijana Jiajiri’ inalenga kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kujituma, kujiamini nguzo muhimu katika ujasiriamali

Kazi ni kazi mchagua jembe si mkulima... kikubwa ni kufanya jitihada zozote ili mradi mkono uende kinywaji pata mikeka ya asili iliyo na ubora wa hali ya juu na kuhimilia matumizi mbalimbali kama kulalia, kuanikia unga na mahindi pindi yapooshwa.

 

9 years ago

CCM Blog

NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake .
 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Annastazia Wambura akiwasalimu Viongozi, Wakuu wa Idara kwenye kikao cha kwanza ambapo aliwataka kuzingatia kazi na kuzifanya kwa ufanisi.
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na Wakurugenzi na Viongozi wa Idara mbali mbali walio chini ya Wizara yake .
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe....

 

11 years ago

Michuzi

Mama Maria Nyerere awaasa Wanawake Wajasiliamali kujiamini

 Mama Maria Nyerere akitoa nasaa wakati wa Ufunguzi wa Semina kwa Wanawake Wajasiliamali kutoka Mikoa yote ya Tanzania, akiwa ni Mwanamke Mjasiliamali pia, amewahakikishia wanawake mafanikio iwapo watajiamini na kumsirikisha Mungu katika kazi zao.   Mwenyekiti wa EOTF Mama Anna Mkapa, akitoa utangulizi wa Mafunzo na ntambulisho wa Waalikwa, wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya siku tatu kwa Wanawake Wajasiliamali, kuanzia Juni 23-25/2014, kuanzia saa2  asubuhi  katika ukumbi wa Bwalo la...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Dar watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu na kujiajiri

Vijana mkoani Dar es Salaam na nchini kwa ujumla wametakiwa kujiamini na kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi ya ujasiriamali na kutumia fursa zilizopo kupiga vita tatizo la ajira ili kukukuza vipato vyao na kuchangia ukuaji wa pato la taifa.  Akizindua Programu ya kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa vijana wa mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake ijulikanayo kama Kijana Jiajiri, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Said Meck Sadiq amesema vijana hawana budi kuonyesha juhudi na hamu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani