Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kujituma, kujiamini nguzo muhimu katika ujasiriamali

Kazi ni kazi mchagua jembe si mkulima... kikubwa ni kufanya jitihada zozote ili mradi mkono uende kinywaji pata mikeka ya asili iliyo na ubora wa hali ya juu na kuhimilia matumizi mbalimbali kama kulalia, kuanikia unga na mahindi pindi yapooshwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Heshima nguzo muhimu katika malezi ya mtoto

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Je, heshima huanzia wapi?

 

5 years ago

Michuzi

Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi

Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini. 
 
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...

 

11 years ago

Michuzi

TAKWIMU RASMI NA ENDELEVU NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA SERA ZA MAENDELEO -UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum  Wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa 45 wa Kamisheni ya Takwimu ya Umoja wa Mataifa, wamepewa changamoto ya kuhakikisha kwamba, Takwimu rasmi na sahihi zinaunga mkono pamoja na mambo mengine, utekelezaji na usimamizi wa Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu ( SDGs) baada ya 2015.  Changamoto hiyo imetolewa siku ya Jumanne na Katibu Mkuu Msaidizi Bw. WU HONGBO anayeongoza Baraza la Umoja wa Mataifa linalosimamia masuala ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii ( ECOSOC)....

 

5 years ago

Michuzi

“WELEDI NA KUJITUMA NDIO NGUZO YA MAFANIKIO”-DKT MWAKYEMBE

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayoub Rioba akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo la televisheni kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya utangazaji mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe lililotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Korea ambapo amesema kwa sasa jengo hilo ujenzi wake umefikia 20%.
Waziri wa Habari Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa studio ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujasiriamali ni nguzo ya kumuinua kijana kiuchumi

KATIKA ulimwengu wa sasa wenye changamoto ya ukosefu wa ajira, dhana ya ujasiriamali inabaki kuwa pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi. Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujasiriamali nguzo kuu ya kiuchumi duniani

KATIKA maisha ya sasa kipato cha mtu mmoja mmoja kinazingatiwa zaidi kuliko miaka iliyopita. Hii inatokana na uchumi wa dunia umebadilika, kukosekana kwa ajira na  mitaji ya kuanzia biashara imekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uthubutu nguzo muhimu kuendelea kibiashara

KATIKA maisha vijana wengi tunatamani kuleta mabadiliko ya kweli pale tulipo. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema kuna kiu ya mafanikio. Hata hivyo ni watu wachache waliofanikisha malengo yao na kuleta...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIAMINI KATIKA NAFAZI ZAO ZA UONGOZI -KAIRUKI

Nabu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akizungumza na wanawake katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam. Katibu mtendaji wa uongozi institue,Profesa Joseph Semboja  akizungumza katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanawake walioshiriki mkutano wa kuwajengea uwezo katika masuala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia

KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani