Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uthubutu nguzo muhimu kuendelea kibiashara

KATIKA maisha vijana wengi tunatamani kuleta mabadiliko ya kweli pale tulipo. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema kuna kiu ya mafanikio. Hata hivyo ni watu wachache waliofanikisha malengo yao na kuleta...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Heshima nguzo muhimu katika malezi ya mtoto

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Je, heshima huanzia wapi?

 

10 years ago

Mwananchi

Kujituma, kujiamini nguzo muhimu katika ujasiriamali

Kazi ni kazi mchagua jembe si mkulima... kikubwa ni kufanya jitihada zozote ili mradi mkono uende kinywaji pata mikeka ya asili iliyo na ubora wa hali ya juu na kuhimilia matumizi mbalimbali kama kulalia, kuanikia unga na mahindi pindi yapooshwa.

 

5 years ago

Michuzi

Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi

Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini. 
 
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...

 

11 years ago

Michuzi

TAKWIMU RASMI NA ENDELEVU NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA SERA ZA MAENDELEO -UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum  Wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa 45 wa Kamisheni ya Takwimu ya Umoja wa Mataifa, wamepewa changamoto ya kuhakikisha kwamba, Takwimu rasmi na sahihi zinaunga mkono pamoja na mambo mengine, utekelezaji na usimamizi wa Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu ( SDGs) baada ya 2015.  Changamoto hiyo imetolewa siku ya Jumanne na Katibu Mkuu Msaidizi Bw. WU HONGBO anayeongoza Baraza la Umoja wa Mataifa linalosimamia masuala ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii ( ECOSOC)....

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: TAARIFA MUHIMU KUHUSU KUENDELEA KWA KIKAO CHA BUNGE MAALUM KESHO TAREHE 18 MACHI, 2014

Baada ya kutokea vurugugu zilizosababishwa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum kupelekea Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Jaji Joseph Warioba  (pichani juu, akiongozwa kutoka Bungeni baada ya zoezi la kuwasilisha rasimu ya katiba kuahirishwa) kutokuwasilisha rasimu ya pili ya Katiba kwa wajumbe hao, Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta aliitisha kikao cha maridhiano na baadhi ya wajumbe wanaowakilisha makundi mbalimbali yaliyopo katika Bunge hilo ili kupata muafaka wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete anahitaji uthubutu

RAIS Jakaya Kikwete juzi alisema serikali imeubaini mtandao wa ujangili unaojumuisha watu 40, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha. Akihojiwa juzi jioni na Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Rais Kikwete alikanusha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wawe na uthubutu katika maisha

TUNAISHI katika ulimwengu uliojaa changamoto katika kila nyanja ya maisha. Iwe kijamii, kiuchumi na kisiasa. Changamoto za maisha zinaweza kugeuka na kuwa kikwazo cha mafanikio ya kijana pale anapoziogopa badala...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali, Mama jasiri, mwenye uthubutu wa kipekee

Grace Mahumbuka ni mjasiriamali ambaye sasa amekuwa Balozi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi na Jinsia(Ekama), baada ya kuwa mshindi wa kwanza na pekee wa Tuzo za Asasi za kiraia.

 

10 years ago

Bongo5

Nisher na Vanessa Mdee wasifia uthubutu anaofanya Hemedy PHD

Hemedy PHD si msanii unayemsikia sana kwenye redio japo ni miongoni mwa waimbaji wazuri wa R&B, lakini kitu kimoja ambacho hupaswi kumnyima ni namna anavyojipanga kwenye video zake. Hemedy akiwa kwenye location ya video yake Umebaki Story iliyofanyika kwenye mikoa minne nchini na kugharimu takriban shilingi milioni 15 Vanessa Mdee na Nisher wamemmwagia sifa staa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani