Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete anahitaji uthubutu

RAIS Jakaya Kikwete juzi alisema serikali imeubaini mtandao wa ujangili unaojumuisha watu 40, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha. Akihojiwa juzi jioni na Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Rais Kikwete alikanusha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uthubutu nguzo muhimu kuendelea kibiashara

KATIKA maisha vijana wengi tunatamani kuleta mabadiliko ya kweli pale tulipo. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema kuna kiu ya mafanikio. Hata hivyo ni watu wachache waliofanikisha malengo yao na kuleta...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wawe na uthubutu katika maisha

TUNAISHI katika ulimwengu uliojaa changamoto katika kila nyanja ya maisha. Iwe kijamii, kiuchumi na kisiasa. Changamoto za maisha zinaweza kugeuka na kuwa kikwazo cha mafanikio ya kijana pale anapoziogopa badala...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali, Mama jasiri, mwenye uthubutu wa kipekee

Grace Mahumbuka ni mjasiriamali ambaye sasa amekuwa Balozi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi na Jinsia(Ekama), baada ya kuwa mshindi wa kwanza na pekee wa Tuzo za Asasi za kiraia.

 

10 years ago

Bongo5

Nisher na Vanessa Mdee wasifia uthubutu anaofanya Hemedy PHD

Hemedy PHD si msanii unayemsikia sana kwenye redio japo ni miongoni mwa waimbaji wazuri wa R&B, lakini kitu kimoja ambacho hupaswi kumnyima ni namna anavyojipanga kwenye video zake. Hemedy akiwa kwenye location ya video yake Umebaki Story iliyofanyika kwenye mikoa minne nchini na kugharimu takriban shilingi milioni 15 Vanessa Mdee na Nisher wamemmwagia sifa staa […]

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe

  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini pamoja na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC) wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa ajili ya viongozi wa SADC wanaohudhuria mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia

 .Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya jijini Windhoek Namibia ambapo walihudhuria sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Namibia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Hoteli ya Safari Court jijini Windhoek Namibia jana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi(kulia) na Benjamin William Mkapa(kushoto) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako jijini...

 

11 years ago

GPL

WEMA ANAHITAJI KUOMBEWA

'Baby' wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu akiwa pekupeku baada ya kupandisha mori! NAJUA nitawakera wengi sana kwa kuandika habari zinazomhusu Wema Sepetu, msichana mwenye jina kubwa Bongo, lisilofanana na kazi anayoifanya, kwa sababu wapo wanaompenda sana na wengine wamechoshwa naye. Wema akiwa ndani ya News Room akimtafuta mwandishi wa Global… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani