Mrembo wa Tanzania afuata taji la dunia
MREMBO wa Tanzania wa mwaka 2014 (Miss Tanzania), Lilian Kamazima anatarajiwa kuondoka nchini leo kwenda Sanya, China kushiriki mashindano ya dunia (Miss World), huku akiahidi kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Mrembo akataa kurejesha taji lake
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa
Miss Universe ndani ya vazi la jioni.
Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBmwSaION7Q/VME5NKDfkJI/AAAAAAAG_Fc/Qg-jD3OLciY/s72-c/Evening%2BGown.jpg)
MREMBO WA TANZANIA KATIKA MASHINDANI YA DUNIA YA MISS UNIVERSE ANG’ARA NA VAZI LA TAIFA
11 years ago
Bongo511 Aug
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Mrembo wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World 2014
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..
December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]
The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...