Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MREMBO WA TANZANIA KATIKA MASHINDANI YA DUNIA YA MISS UNIVERSE ANG’ARA NA VAZI LA TAIFA

Mashindano ya awali (Preliminary show)ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface (pichani)  ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko Marekani. Siku chache zikiwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa

Evening Gown

Miss Universe ndani ya vazi la jioni.

Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa   huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...

 

9 years ago

Dewji Blog

Lorraine Marriot Miss Universe Tanzania 2015 ndani ya Las Vegas na Vazi la Taifa

debuts her National Costume on stage at Planet Hollywood Resort & Casino Wednesday, December 16, 2015. The 2015 Miss Universe contestants are touring, filming, rehearsing and preparing to compete for the DIC Crown in Las Vegas. Tune in to the FOX telecast at 7:00 PM ET live/PT tape-delayed on Sunday, Dec. 20, from Planet Hollywood Resort & Casino in Las Vegas to see who will become Miss Universe 2015. HO/The Miss Universe Organization

Lorraine Marriot (pichani) akiwa katika vazi la ubunifu la Taifa .Vazi hili limebuniwa na Adam Hassana Kijangwa kutoka Zanzibar na imeitwa ‘Angel of Ivory’ maana inaonyesha Malaika wa Tanzania anayelinda Tembo wanaouwawa kwa ujangili kwa ajili ya biashara haramu ya pembe za ndovu.

Huyu malaika wa Tanzania yupo kwa ajili ya kuwalinda Tembo na rasilimali zetu na kuwaadhibisha majangili. Nguo yake imeshonwa kwa ubunifu na umahiri mkubwa na hekaheka limebuniwa na Mwanakombo Salim. Pia kabeba...

 

10 years ago

Vijimambo

VAZI LA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 KAMA NATION COSTUME



Nguo hii ndiyo Miss Universe Tanzania 201 Nale Boniface ndiyo alijitambulisha nayo kwenye mashindano yaliyofanyika FL Marekani usiku wa jumapili january 25. Vazi hili lilijulikana kama national costume jitiririshe na mavazi ya warembo nchi zingine hapa chini.
Miss RussiaMiss U.S.AMiss Venezuela Miss JamaicaMiss CanadaMiss Dominican RepublicMiss LebanonMiss IndiaMiss Great BritainMiss FinlandMiss IsraelMiss Ireland Miss South Africa

 

9 years ago

MillardAyo

Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani

Weekend hii itakuwa na headlines za urembo kwenye mataji mawili makubwa duniani, yani ni kwamba itashuhudiwa fainali ya Miss World ambayo itafanyika Dec 19 2015 ndani ya Sanya China, alafu siku inayofatia yani December 20 itakuwa ni fainali ya Miss Universe Marekani. Tanzania ina mwakilishi kwenye stage ya Miss Universe 2015 Marekani ambaye ni mrembo mwenye […]

The post Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AONDOKA RASMI KUELEKEA JIJINI MIAMI KWENYE FAINALI ZA DUNIA

Mrembo wa miss Universe Tanzania 2014,Carolyn Bernard ameondoka rasmi nchini kuelekea nchini Marekani kwenye fainali za  dunia za Miss Universe zitakazofanyika jijini Miami tarehe 25 mwezi huu wa januari.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mrembo wetu akutana na miliki wa shindano kubwa la Miss Universe Donald Trump

IMG_20150109_171950

Mmiliki wa shindano Kubwa la urembo duniani, Mr Donald Trump atembelea warembo wa Miss Universe na kujumuika nao kwa chakula cha asubuhi

Tanzania inawakilishwa na mrembo wa Miss Universe Tanzania, Nale Boniface.

Bilionea huyu alionekana kufurahia warembo na alinukuliwa akisema, This time we have such young and beautiful contentants.

NALE BONIFACE na baadhi ya warembo waliomba kupiga picha ya pamoja.

Mkurugenzi wa Miss Universe Tanzania amefurahishwa na ushindani wa Nale na amesema...

 

11 years ago

Mwananchi

Pitbull ang’ara uzinduzi Kombe la Dunia 2014

Kama uliangalia ufunguzi wa Kombe la Dunia ulipata bahati ya kumwona mwanamuziki Armando Christian Pérez mwenye umri wa miaka 33 ambaye jina lake la jukwaani anaitwa Pitbull, rapa mahiri kutoka nchini Marekani.

 

10 years ago

Bongo5

Selfie ya Miss Universe Israel na Miss Lebanon yazua mgogoro mkubwa wa kisiasa katika nchi zao!

Kwanini selfie ya wasichana warembo inaweza kugeuka kuwa issue ya kimataifa? Labda pale tu Israel na Lebanon zinapohusika. Kuanzia kushoto ni Miss Israel, Doron Matalon, Miss Japan, Miss Slovenia na Miss Lebanon, Saly Griege Timbwili hilo lilianza wiki iliyopita baada ya mwakilishi wa Miss Universe Israel, Doron Matalon kupost picha kwenye Instagram akiwa na warembo […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa

1-Asia-Idarous-akiwa-na-vazi-la-Kitanzania

Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.

.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA

Na Andrew Chale

MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin  kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika  onyesho  kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa  ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa  alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani