Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani
Weekend hii itakuwa na headlines za urembo kwenye mataji mawili makubwa duniani, yani ni kwamba itashuhudiwa fainali ya Miss World ambayo itafanyika Dec 19 2015 ndani ya Sanya China, alafu siku inayofatia yani December 20 itakuwa ni fainali ya Miss Universe Marekani. Tanzania ina mwakilishi kwenye stage ya Miss Universe 2015 Marekani ambaye ni mrembo mwenye […]
The post Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)
Unaweza kukosea ukaomba radhi lakini watu wasiwe wepesi kukusamehe au kukuelewa kwamba umejikwaa kibinadamu… utata na kelele ziliibuka kwenye stage ya Planet Hollywood, Las Vegas Marekani saa chache zilizopita. Noma zaidi ni kwamba ishu haikuishia kwenye stage wala ukumbini, watu wakaingia mitandaoni kila mmoja akiongea la kwake huku wengi wakionekana kama hawajachukulia poa kosa la MC […]
The post Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)...
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Lorraine jukwaani Miss World Universe Marekani leo
Mrembo anayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World Universe 2015, Lorraine Marriott, leo anatarajia kupanda kujwaani jijini Las Vegas nchini Marekani kwenye fainali za michuano hiyo.
Lorraine mwenye miaka 19 anapambana kuiwakilisha vyema Tanzania baada ya mwakilishi mwingine kutoka nchini, Lilian Kamazima kushindwa kufurukuta katika fainali za mashindano ya Miss World 2015 yaliyofanyika jana huko Sanya nchini China na Miss Hispania, Mireia Lalaguna Royo kuibuka kidedea.
GPL...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s72-c/UNI2015_3102.jpg)
MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s640/UNI2015_3102.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
Mrembo wetu akutana na miliki wa shindano kubwa la Miss Universe Donald Trump
Mmiliki wa shindano Kubwa la urembo duniani, Mr Donald Trump atembelea warembo wa Miss Universe na kujumuika nao kwa chakula cha asubuhi
Tanzania inawakilishwa na mrembo wa Miss Universe Tanzania, Nale Boniface.
Bilionea huyu alionekana kufurahia warembo na alinukuliwa akisema, This time we have such young and beautiful contentants.
NALE BONIFACE na baadhi ya warembo waliomba kupiga picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Miss Universe Tanzania amefurahishwa na ushindani wa Nale na amesema...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P75779HHKYY/Vm28oqGxzMI/AAAAAAAIMK0/_kGSRdzZh7c/s72-c/photographer_uploaded_1_79_1_1449972038_2015.jpg)
Lorraine Marriot - Miss Universe Tanzania 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-P75779HHKYY/Vm28oqGxzMI/AAAAAAAIMK0/_kGSRdzZh7c/s640/photographer_uploaded_1_79_1_1449972038_2015.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas
Picha rasmi ya Lorraine Marriot – Mwakilishi wetu katika mashindano ya Miss Universe yanayofanyika Las Vegas nchini Marekani. (Picha imepigwa na Fadil Berisha).
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Lorraine Marriot Miss Universe Tanzania 2015 ndani ya Las Vegas na Vazi la Taifa
Lorraine Marriot (pichani) akiwa katika vazi la ubunifu la Taifa .Vazi hili limebuniwa na Adam Hassana Kijangwa kutoka Zanzibar na imeitwa ‘Angel of Ivory’ maana inaonyesha Malaika wa Tanzania anayelinda Tembo wanaouwawa kwa ujangili kwa ajili ya biashara haramu ya pembe za ndovu.
Huyu malaika wa Tanzania yupo kwa ajili ya kuwalinda Tembo na rasilimali zetu na kuwaadhibisha majangili. Nguo yake imeshonwa kwa ubunifu na umahiri mkubwa na hekaheka limebuniwa na Mwanakombo Salim. Pia kabeba...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa
Miss Universe ndani ya vazi la jioni.
Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBmwSaION7Q/VME5NKDfkJI/AAAAAAAG_Fc/Qg-jD3OLciY/s72-c/Evening%2BGown.jpg)
MREMBO WA TANZANIA KATIKA MASHINDANI YA DUNIA YA MISS UNIVERSE ANG’ARA NA VAZI LA TAIFA