Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrembo wetu akutana na miliki wa shindano kubwa la Miss Universe Donald Trump

IMG_20150109_171950

Mmiliki wa shindano Kubwa la urembo duniani, Mr Donald Trump atembelea warembo wa Miss Universe na kujumuika nao kwa chakula cha asubuhi

Tanzania inawakilishwa na mrembo wa Miss Universe Tanzania, Nale Boniface.

Bilionea huyu alionekana kufurahia warembo na alinukuliwa akisema, This time we have such young and beautiful contentants.

NALE BONIFACE na baadhi ya warembo waliomba kupiga picha ya pamoja.

Mkurugenzi wa Miss Universe Tanzania amefurahishwa na ushindani wa Nale na amesema...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Donald Trump sells off Miss Universe Organization

Mr. Trump had acquired NBCUniversal’s interest in The Miss Universe Organization as part of the settlement of his litigation against NBCUniversal.

 

9 years ago

MillardAyo

Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani

Weekend hii itakuwa na headlines za urembo kwenye mataji mawili makubwa duniani, yani ni kwamba itashuhudiwa fainali ya Miss World ambayo itafanyika Dec 19 2015 ndani ya Sanya China, alafu siku inayofatia yani December 20 itakuwa ni fainali ya Miss Universe Marekani. Tanzania ina mwakilishi kwenye stage ya Miss Universe 2015 Marekani ambaye ni mrembo mwenye […]

The post Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa

Evening Gown

Miss Universe ndani ya vazi la jioni.

Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa   huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...

 

10 years ago

Michuzi

MREMBO WA TANZANIA KATIKA MASHINDANI YA DUNIA YA MISS UNIVERSE ANG’ARA NA VAZI LA TAIFA

Mashindano ya awali (Preliminary show)ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface (pichani)  ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko Marekani. Siku chache zikiwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo

Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

Clinton amvaa Donald Trump

Mgombea wa urais kupitia chama cha Democratic, nchini Marekani, Hilarry Clinton amemkashifu mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari. 

 

9 years ago

BBCSwahili

Donald Trump akanusha kukejeli mlemavu

Mgombea wa urais wa chama cha Republican Donald Trump, amekanusha kukejeli ulemavu wa viungo vya mwili.

 

10 years ago

Vijimambo

Donald Trump: I really don't know where Obama was born


"Honestly, I don't want to get into it," Trump said. "I'm about jobs, I'm about the military, I'm about doing the right thing for this country."But to be clear, Trump is still not totally convinced that Obama was born in the country."I don't know. I really don't know," he said. "I don't know why he wouldn't release his records.""Or why, when he released those records, I started asking for different records," he did not continue. "Or why none of the same records that other candidates might...

 

10 years ago

BBCSwahili

Donald Trump kuwania urais Marekani

Tajiri Donald Trump kwa mara nyengine tena ametangaza azma yake ya kuwania urais nchini Marekani mwaka 2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani