Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Louis Hamilton atetea taji lake vyema

Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes ameibuka bingwa kwa mara nyingine katika shindano la Grand Prix lililofanyika huko China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hamilton atwaa taji la tatu

Lewis Hamilton ameendelea kung'ara msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix,

 

9 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton ashinda taji la Japan GP

Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton ameshinda michuano ya Suzuki na kutwaa taji la 41 katika mchezo huo

 

9 years ago

Bongo5

Lewis Hamilton achukua taji la Japan GP

Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton kutoka timu ya Mercedes ameshinda michuano ya Suzuki na kutwaa taji la 41 katika mchezo huo. Lewis Hamilton akiwa ameshikilia taji la Japan GP na Nico Rosberg (kushoto) akishika nafasi ya pili huku Sebastian Vettel (kulia) akishika nafasi ya tatu Hamilton alishinda taji hilo na kumfikia mkongwe wa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa atetea uwekezaji, asema wanasiasa hawauelewi vyema

Rais mstaafu Benjamin Mkapa amesema sekta ya uwekezaji nchini inashindwa kukua kwa kasi inayotarajiwa kutokana na baadhi ya wanasiasa kutokuielewa vizuri.

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix

Dereva wa magari, Lewis Hamilton ameendelea kufanya vizuri na kung’ara zaidi msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix. Hamilton ameshinda michuano hiyo ya dunia na kutwaa taji lake la tatu kwa msimu huu wa michuano ya Formula 1. Hamilton ambaye ni dereva wa timu ya Mercedes, anakua Muingereza wa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mrembo akataa kurejesha taji lake

Mshindi wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang'anywa taji hilo wiki iliopita ,amekataa kurudisha taji hilo kwa waandalizi

 

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:ManCity itatetea taji lake

Kocha wa Man City Manuel Pellegrini amesema kuwa anamatumaini timu hiyo itatetea taji lake msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Asbel Kiprop kutetea taji lake Beijing

Asbel Kiprop kutoka Kenya kutetea taji lake mjini Beijing baada kufuzu kwa fainali

 

10 years ago

Michuzi

RACHAEL CLAVERY ASHINDA TAJI LA MISS LAKE ZONE 2014 USUIKU HUU MJINI BUKOBA

Mshindi wa Miss Lake Zone 2014 Rachael Clavery (katikati) akila pozi katika picha ya ukumbusho na mshindi wa pili Mary Emanuel( kulia) na Mshindi wa tatu Nikole Sarakikya ( kushoto). Rachael amejinyakulia zawadi nono ya Gari la millioni 10 katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza usiku huu. Shindano hilo lilikuwa na Walimbwende 18 wote wakichuana vikali na kila mmoja akitaka ashinde kabla ya Rachael Clavery kuwafunika wenzake na kuibuka na ushindi. Gari aliloshinda Miss Lake Zone 2014...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani