VIJANA HAWA WALIMU WANATAFUTWA NA WANAFUNZI WAO BAADA YA KUINGIA MITINI NA PESA ZA FIELD
![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s72-c/IMG-20150816-WA0034.jpg)
Matapeli waliotambulika kwa majina ya Innocent Joseph na Kakamba, Iden na Wenzao wawili, wanaotokea Kampuni ya Utafiti ya Research Solution Africa, wamekuwa wakifanya kazi ya kupokea Tenda za Research na watu wamekuwa wakilipwa kwa siku, usiku na mchana ikitegemea na mteja anayefadhili zoezi hilo la utafii.
Mfano miongon mwa benki zinazodhamini ni World Bank ambapo huwa wanawalipa watu kiasi cha Sh. 25,000/= kwa Mkoa wa Dar es Salaam, na iwapo watasafiri mikoani vijini watalipwa kiasi cha Sh....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wanafunzi 826 na walimu wao wakimbia vita Kiteto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYpRL*YD2pDOVEn0UVDf*nVyaOfcCa5pfjHacuIa97KsrIlpr-vH1E4tJGPGPka7ThceIGrHvHtoC11jBYFU4ToG/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUINGIA MITINI NA MILIONI MOJA
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T34Tk2k1iLU/XmJey8EuYWI/AAAAAAALhlU/0KAwcfgtxOsezi1bGx9wEGgks4vqY0GrwCLcBGAsYHQ/s72-c/cc5c3b1c-fe1f-4d84-97bb-a1a1d9192272.jpg)
TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA
TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.
Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: Hatuwezi kuongezea walimu pesa
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Wanafunzi St.Joseph wagoma kuingia darasani
NA SHAABAN MDOE,ARUSHA
ZAIDI ya wanafunzi 350 wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Joseph, tawi la Arusha, wamegoma kuingia madarasani kwa madai ya kufundishwa kwa mitalaa kutoka nchini India.
Mbali na hilo, wanafunzi hao ambao wanasomea ualimu, wanadai kufundishwa na walimu wenye fani ya uhandisi na kwamba huimbishwa nyimbo za darasa la kwanza, pili na tatu.
Kiongozi wa Chuo hicho, Bwigane Mwaipaja, alisema tokea mwanzo wa muhula wa masomo, walibaini kuwepo kwa mitaala tofauti katika chuo hicho.
Alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1NCwuXSEReuTLSNzi8cKTeZ-N8gmVBNl7UihI7Fm1JJjr9CD*7OM9dayn6VCyfekaJ*stb2dtvPQiwFsAcMZFM/001.ROSALYNN.jpg?width=650)
NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA
11 years ago
Michuzi18 Jun
Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF2OSlTY-J2VvXndKU20E*xh8HMounyzkqg5BexEWge3LhYqs6r0-owQ2*6fV4s4-g0rIb1iyARTf3PG2vDoceGZ/Untitled1.jpg)
OMMY DIMPOZ, IDRIS WAWALIZA WALIMU WAO