Wanafunzi St.Joseph wagoma kuingia darasani
NA SHAABAN MDOE,ARUSHA
ZAIDI ya wanafunzi 350 wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Joseph, tawi la Arusha, wamegoma kuingia madarasani kwa madai ya kufundishwa kwa mitalaa kutoka nchini India.
Mbali na hilo, wanafunzi hao ambao wanasomea ualimu, wanadai kufundishwa na walimu wenye fani ya uhandisi na kwamba huimbishwa nyimbo za darasa la kwanza, pili na tatu.
Kiongozi wa Chuo hicho, Bwigane Mwaipaja, alisema tokea mwanzo wa muhula wa masomo, walibaini kuwepo kwa mitaala tofauti katika chuo hicho.
Alisema...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita darasani
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU nane wakiwamo wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Pamoja na vifo hivyo, wanafunzi wengine 15 wa shule hiyo walijeruhiwa vibaya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, Dk. Fadhili Kabaya alithibitisha kupokea miili ya marehemu pamoja na majeruhi.
Alisema tukio hilo, lilitokea jana saa 6 mchana wakati mvua kubwa iliyoambatana na radi ikinyesha.
“Tumepokea majeruhi 15 wa tukio hili,...
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita, mwalimu darasani.
![](http://www.whmentors.org/rpic/lightning001a.jpg)
Tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi katika Shule ya Msingi Kibirizi iliyopo kwenye manispaa hiyo.
KAULI YA MGANGA
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni, Dk. Fadhili Kibaya, alisema alipokea maiti za watu wanane zikiwamo za wanafunzi sita wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq27a2BqoRjXNYm*7TLMlbrcrxhZBWBX7CE-QTXrr9XZMIbX6Gp5sUPkS8lUZfIdDya9itwlQxumGr6I0uVrYKTo/IMG_20141020_063403.jpg?width=650)
MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VuOF18pjA2C*7MGWdBfxzjNNHFh4J*7dGTNWXacY1zgI20WPWZLbTdoj*I1ot5ZBqtKU4vqhyGhna2o6bDodR5/BREAKINGNEWS.gif)
KIMENUKA MORO, MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Wanafunzi 40 St. Joseph wakamatwa
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia wanafunzi 40 wa Chuo Kikuu cha St. Joseph, tawi la Songea, akiwemo Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa chuo hicho, Aristides Mjwahuzi, baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Wanafunzi 2,000 wagoma kurudia
WANAFUNZI 2,110 kati ya 3,933 waliotakiwa kurudia kidato cha pili mwaka 2013 baada ya kufeli mtihani wa taifa mwaka jana, wameingia mitini mkoani Pwani. Idadi hiyo ya wanafunzi kutoka katika...
10 years ago
Habarileo20 Nov
Wanafunzi Chuo Kikuu St John’s wagoma
WANACHUO wa Chuo Kikuu cha St. John’s mjini hapa jana wamegoma kuingia madarasani, kushinikiza uongozi wa chuo hicho kutatua matatizo yao, ikiwemo madai ya chuo kuwa na sheria kandamizi.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-AZrFDCHJOfA/VGyRHXK51fI/AAAAAAAANNg/IS0017avpwE/s72-c/RAIS%2BSERIKALI%2BYA%2BWANAFUNZI%2BST%2BJOHNS%2BDODOMA.jpg)
WANAFUNZI ST.JOHNS DODOMA WAGOMA MPAKA KIELEWEKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-AZrFDCHJOfA/VGyRHXK51fI/AAAAAAAANNg/IS0017avpwE/s640/RAIS%2BSERIKALI%2BYA%2BWANAFUNZI%2BST%2BJOHNS%2BDODOMA.jpg)
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA ST. JOSEPH WACHANGIA CHUPA 125 ZA DAMU MUHIMBILI