WANAFUNZI WA ST. JOSEPH WACHANGIA CHUPA 125 ZA DAMU MUHIMBILI
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya akitoa damu leo jijini Dar es Salaam katika shule ya St. Joseph Cathedral High School zamani ikijulikana Shule ya Sekondari Forodhani. Balozi Msuya ambaye alisoma kwenye shule hiyo mwaka 1975 ni mmoja wa wanafunzi wa zamani waliojitokeza kutoa damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa wanaotibiwa Katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya akiwa na wanafunzi wanaosoma kwenye shule hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 May
ACT Wazalendo wachangia damu hospitali ya Taifa Muhimbili
Muuguzi Mwandamizi Judith Kayombo akichanganya Damu wakati alipokuwa akimtoa Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba.
Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
MNH yasaka chupa 240 za damu upasuaji moyo
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
CHADEMA wachangia benki ya damu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Tabora umetembelea Benki ya Damu na kuchangia huduma hiyo kwa wahitaji. Akizungumza baada ya kuchangia damu, Mwenyekiti wa CHADEMA...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Waumini Sabato wachangia damu
10 years ago
Habarileo08 Dec
Bodaboda wachangia damu, madawati
UMOJA wa Madereva waendesha pikipiki wilayani hapa, mwishoni mwa wiki ulishiriki katika tukio la kihistoria, la kujitolea kutoa damu katika hospitali ya wilaya ya Serengeti ya DDH sambamba na kutoa mchango wa madawati 10, yenye thamani ya Sh 800,000 kwa shule za msingi za Kambarage na Matare.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Urasimu wakatisha tamaa wachangia damu
MWITIKIO mdogo wa jamii katika uchangiaji damu wa hiari umetajwa kusababishwa na urasimu wa watumishi wa umma katika sekta ya afya, hasa kitengo cha damu salama kutokana na damu hiyo...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Vijana wachangia damu wanajeshi Cameroon
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Wafanyakazi Mgodi wa Bulyankulu wachangia damu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s72-c/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s640/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)