MNH yasaka chupa 240 za damu upasuaji moyo
Wananchi wametakiwa kujitokeza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kuchangia damu ili kuwasaidia watoto wenye matatizo ya moyo wanaosubiri kufanyiwa upasuaji kuanzia keshokutwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
5 years ago
CCM BlogNAIBU WAZIRI WA AFYA, DK. NDUGULILE AISIFU TAASISI YA JKCI KWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KWENYE MOYO
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
5 years ago
MichuziBenki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA ST. JOSEPH WACHANGIA CHUPA 125 ZA DAMU MUHIMBILI
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya akitoa damu leo jijini Dar es Salaam katika shule ya St. Joseph Cathedral High School zamani ikijulikana Shule ya Sekondari Forodhani. Balozi Msuya ambaye alisoma kwenye shule hiyo mwaka 1975 ni mmoja wa wanafunzi wa zamani waliojitokeza kutoa damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa wanaotibiwa Katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya akiwa na wanafunzi wanaosoma kwenye shule hiyo...
10 years ago
GPLTANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Hospitali ya Bugando sasa mbioni kufanya upasuaji wa moyo
9 years ago
MichuziMABALOZI WAIPONGEZA TAASISI YA JKCI KWA KUFANYA UPASUAJI WA MOYO
10 years ago
MichuziRais Kikwete wapngeza Madktari Bingwa wa Moyo kwa upasuaji
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10