NAIBU WAZIRI WA AFYA, DK. NDUGULILE AISIFU TAASISI YA JKCI KWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KWENYE MOYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
Dkt. Ndugulile: Endeleeni kutibu watu wenye magonjwa mengine na si wa Covid -19 tu
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
9 years ago
MichuziMABALOZI WAIPONGEZA TAASISI YA JKCI KWA KUFANYA UPASUAJI WA MOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s72-c/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s320/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda kuutahadharisha Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...
10 years ago
Dewji Blog25 May
Upasuaji wenye madhara madogo, hatua mpya kwa matibabu ya magonjwa ya mishipa ya Moyo
Ugonjwa wa mishipa ya moyo (CAD) ni aina ya ugonjwa wa moyo unaowakumba wengi, huongoza kusababisha vifo kwa wengi ikiwemo wanawake na wanaume. Ugonjwa hutokea wakati mishipa ya ateri inayosambaza damu kwenye misuli ya moyo inapokakamaa na kuwa nyembamba. Hii ni kwa sababu ya kujengeka kwa kolesteroli na vitu vingine kama utando kwenye kuta za ndani ya moyo. Kujijenga huku kisayansi hujulikana kama ‘atherosclerosis’. Kujengeka kwake kunapoongezeka kunapunguza mtiririko wa damu kwenye atiri,...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI2552.jpg)
Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s640/OTMI2552.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ofaNsobsXQ/XqqlMLa7SXI/AAAAAAALooU/BEw8MdRgB8Q0KyOtrrq6LnzGPBfNhVCtQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI2559.jpg)
5 years ago
MichuziTaasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yatoa Zawadi kwa watoto
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi mtoto mwenye matatizo ya moyo aliyelazwa katika Taasisi hiyo Elizabeth Omari zawadi ya Pasaka wakati wa ugawaji wa zawadi hizo kwa watoto leo Jijini Dar es Salaam
Maafisa Uuguzi wa wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya huduma ya Uuguzi Robert Mallya kumkabidhi zawadi ya pasaka mama wa mtoto Wilson Willium wakati wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT NDUGULILE ATOA UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s640/Ndugulile.jpeg)
NA DK FAUSTINE NDUGULILE
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini.
2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10