Wafanyakazi Mgodi wa Bulyankulu wachangia damu
Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu Bulyanhulu katika wilayani Kahama, mkoani Shinyanga wameitumia siku ya familia kupima Ukimwi na kutoa damu itakayotumika kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Kahama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HPxlxxyUMg0/VP77row25QI/AAAAAAAHJVs/U7wThD17H9U/s72-c/001.DAMU.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPxlxxyUMg0/VP77row25QI/AAAAAAAHJVs/U7wThD17H9U/s1600/001.DAMU.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nIkspUYqMT0/VP77riJqe_I/AAAAAAAHJVo/zoqmytV3zdY/s1600/002.DAMU.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ6t7FO8pTWDBL-rrkBIDH8nqk3B9c7WMqr00NUnUum4W3MoX7uLsXJITkNm7HIuryXe9x78dUIIaq3ylp4yQNw/002.DAMU.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
CHADEMA wachangia benki ya damu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Tabora umetembelea Benki ya Damu na kuchangia huduma hiyo kwa wahitaji. Akizungumza baada ya kuchangia damu, Mwenyekiti wa CHADEMA...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Waumini Sabato wachangia damu
10 years ago
Habarileo08 Dec
Bodaboda wachangia damu, madawati
UMOJA wa Madereva waendesha pikipiki wilayani hapa, mwishoni mwa wiki ulishiriki katika tukio la kihistoria, la kujitolea kutoa damu katika hospitali ya wilaya ya Serengeti ya DDH sambamba na kutoa mchango wa madawati 10, yenye thamani ya Sh 800,000 kwa shule za msingi za Kambarage na Matare.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Urasimu wakatisha tamaa wachangia damu
MWITIKIO mdogo wa jamii katika uchangiaji damu wa hiari umetajwa kusababishwa na urasimu wa watumishi wa umma katika sekta ya afya, hasa kitengo cha damu salama kutokana na damu hiyo...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Vijana wachangia damu wanajeshi Cameroon
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s72-c/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s640/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)